Recent content by kiwese

  1. K

    Crossroads: Ex wa mke wangu wanaendelea kuwa karibu na wife hadi sasa

    mimi nafikiri matatizo yalianzia kwako mwenyewe. pia jiangalie jinsi ulivyo play part kuhakikisha huyo mke wako anaachana na jamaa yake ili wewe umpate. hivyo unavuna uliyopanda
  2. K

    Dar mmenifurahisha na Mabadiliko

    pipooooooooooooooooooooooooooooooooooooooziiiiiii!!!!!!!!!!!!!
  3. K

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    nimemsikilza kwa kweli hana jipya zidi ya kupigia ccm kampeni. bungeni alisema waziri mkuu hakupatikana na kosa ila ajipimw mwenyewe. leo anasema walisema waziri ajiuzuru. yule dr mwongo sijui kala maharage ya wapi vile?, hauna jipya. 9 years wamenyamaza tu, hiyo ndo nini? naye mpiga dili tu
  4. K

    Zitto: Niliondoka CHADEMA kwa sababu ya kunyanyaswa na kuonewa

    Acha kutusumbua. wewe ulifukuzwa. hukuondoka kwa hiari yako, kwa hiyo utetezi wako ni bure
  5. K

    Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    Kimsingi wagombea wote wa CCM ni wachafu, nani wakumnyoshea kidole Lowassa?
  6. K

    CHADEMA kilichofanyika Monduli ni unafiki mkuu

    wewe jamaa naona unamatatizo, kinachofanya watu waibe ni mfumo mbovu wa kiutawala. kuwapokea watu mimi sioni kama ni kosa, watajifunza philosophy mpya.
  7. K

    Chifu Lutayosa Yemba Mpinzani wa Lipumba, afukuzwa uanachama

    Kama ndivyo, ndivyo inavyotakiwa. tuache kuendesha mambo kimazoea, watu wanaharibu halafu wanafumbiwa macho au mmnaoneana haya....lazima viongozi wauishi uongozi wao. unapogundulika umetapeli mali za umma lazima uwajibike, bila hivyo hatuwezi kusonga mbele kwani mafisi yanazaliwa kila kukicha
  8. K

    Ushahidi wa Jinsi Zitto alivyompigania Mnyika Jimbo la Ubungo 2010!

    umelogwa wewe, si bure. zzk ni msaliti. yeye mwenyewe anayajua aliyokuwa anafanya na ndio maana hawezi kubishia. hoja zenu za kuleta wabunge wengi, ni porojo tu ndigu yangu, wananchi ndio wanaochagua
  9. K

    Mnyika Mbunge wangu, ya wengine unayajua, yako je?

    Kwa hiyo hayo mashimo kachimba mnyika? Tokapa we
  10. K

    Mnyika Mbunge wangu, ya wengine unayajua, yako je?

    Mbona hata wewe husemi nini hajafanya? Ccm imekuwa na jimbo hilo kwa zaidi ya miaka 50. Mnataka kumbebesha lawama MTU aliekaa kwa miaka 4 tu? Tumeona mnyika akifuatilia maji mguu kwa mguu, mi nyinyiem ndo mnaweka kauzibe
  11. K

    Picha za vurugu South Africa: Wazungu wamlilia Mwalimu Julius Nyerere

    sasa ukawa wanaingiaje hapo? wewe huna tofauti na paka
  12. K

    Mahakama ya Kadhi: Wabunge wafanya vurugu wakati wa Semina

    Hiyo Mahakama bado mwenzenu siilewi vizuri. kama inawahusu wao tu kwanini tena kutumia kodi za wananchi wote kuijadili Bungeni? je na wakristu watengeneze sheria ziingizwe kenye katiba ? kichwa kinauma kwa kweli
  13. K

    Ni Laana kwa Afrika kufuta vibali vya Uchawi na Uganga Tanzania

    mmmmmh, nitashangaa kama bado hujakamatwa
  14. K

    Escrow Scandal: Prof Sospeter Muhongo (Minister for Energy and Minerals) resigns

    sijapata kuona profesor mwongo maishani mwangu kama huyu Prof. Muhogo, muongo au Muhongo! by Kigwangalla. Jamba jamba leo kang'oka. siasa sio course work na assignment za wanafunzi
Back
Top Bottom