Recent content by KIWELEWELE

  1. K

    JPM Atoa Million 700

    Leo tunae mkuu wa mkoa wa ajabu sana Arusha. Yaani Mrisho gambo ndie meneja kampeni wa mgombea udiwani wa ccm kata ya muriet huku Arusha. Ni aibu sana
  2. K

    Freeman Mbowe na Wema Sepetu ndani ya penzi zito

    Hii clip ni ya uongo kabisa
  3. K

    RPC Arusha: Tunamshikilia mmiliki wa shule ya Lucky Vicent, atapelekwa mahakamani

    Unachekesha. Kosa ni la dereva na tayari ni marehemu.
  4. K

    Gambo fanya kila kitu Arusha lakini Ubunge sahau

    Mnamkubali ww na nani? Jisemee ww wala usisemee watu. Hivi watu wa arusha unawajua?
  5. K

    Tundu Lissu: Madini mengine ya Tanzania si yetu Kisheria

    Ila lawama zote ziende kwa wabunge wa ccm kwani wao ndio wanaopitisha hizo sheria mbovu kwa kuwa wako wengi
  6. K

    Tetesi: Rais amwita Makonda Ikulu asubuhi hii

    Nenda fb imejaa kule. Ni aibu
  7. K

    Wabunge wa CCM waliopanga kumuona Lema gerezani waonywa, waitwa wasaliti

    Ujumbe kutoka Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Jonathan Lema. Mh Rais Magufuli nakusalimu. Nimetoka Magereza hivi karibuni ambako nilikuwa huko kwa zaidi ya miezi minne kwa kunyimwa masharti ya dhamana kwa dhamana iliyokuwa wazi. Mh Rais, nimeona kwenye vyombo vya habari leo kuwa...
  8. K

    Rais Magufuli amteua Bi. Salma Kikwete kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Akili yangu inasema HAPANA! Aachwe amuhudumie mumewe (wanazeeka hawa)....ten yrs wamekuwa bize na taifa....huku ni kuwarudisha waanze kushindana tena na kina Wema Sepetu!
  9. K

    Polisi Arusha yawatia mbaroni Wenyeviti 6 wa mitaa (CHADEMA) kwa kuvamia ardhi ya wananchi

    Kwa tambua arusha hakuna kata inaitwa burka. Rudi kajipange ulete habari ya kweli.
  10. K

    Uchaguzi wa udiwani Arusha, kiashiria cha kukubalika Rais Magufuli

    Gambo umeanza kuleta porojo zako za kule fb huku? Huo ubunge unaotaka kwa arusha ni ndoto
  11. K

    Madiwani Arusha walia na RC na Mkurugenzi....vioja vyatawala

    Naona gambo umekuja kujisafisha hapa. Ila kumbuka mkurugenzi ni katibu ktk baraza la madiwani hana mamlaka ya kupanga matumizi ya fedha. Sio kosa lako kwani kutoka kurepair computer mpaka ukuu wa mkoa nalo ni tatizo pia
  12. K

    Bodi ya Mikopo kufanya msako nchi nzima kwa waajiri sugu wasiowasilisha makato na majina ya wadaiwa

    Serikali nayo inadaiwa na wafanyakazi wake. Kwa hiyo iwalipe madeni ili na wao walipe
Back
Top Bottom