Recent content by kiwatengu

  1. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania Kigamboni Ilipaswa Kuwa Mji wa Hotels, Malls na Skyline Kubwa ya Dar

    Lakini hotel zipo pia! Usidharau moja kwa moja Kuna Overhang na Aya Sophia kule
  2. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania Kigamboni Ilipaswa Kuwa Mji wa Hotels, Malls na Skyline Kubwa ya Dar

    KFC ya Kigamboni iko wapi? Au umesikia tu story kwa watu mdau
  3. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Inatukumbusha Jabulani
  4. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania Kuelekea Kombe la Dunia 2026; Mchezaji gani ameachwa na timu ya Taifa unadhani alistahili kuitwa?

    Watu wanamtaja Maguire wanamuacha Palma na Foden
  5. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

  6. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Watarusha yote 104! Bei Tsh 28,000 japo wanaweza kushusha zaidi.
  7. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    England hii ndoo wamebeba mara moja tu
  8. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Kama hiki ni kikosi kamili cha England basi kuna mapungufu, Foden, Palmer na Bowen… Au ndio machaguo yamejaa 😂😂😂
  9. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Milioni 100+ zinatumika kununua gari la ‘staff’ Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi wakati hospitali haina mochwari

    Kwani watumishi ndio wanajenga Mochwari? Anyway Human being is selfish by nature
  10. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania Nimeshangaa kuona marekani inafanyia kazi mambo ya mitandaoni ambayo yamejaa uongo na upotoshaji mkubwa

    Ulipookea kuni wenzio walitoa kamba
  11. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Mayele, mwana Yanga
  12. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Timu Ureno tujuane
  13. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Yanga yapata mbabe Ligi Kuu, YABAMIZWA na Dodoma Jiji magoli 3-2

    Hii timu yetu pendwa wanatakiwa kujifunza kutumia nafasi, kocha awape muda waitazame hii mechi dakika zote halafu waseme kwanini wamefungwa
Back
Top Bottom