Mimi mwenyewe nashangaa kusikia mzigo wote 99%umedakwa wakati umepita juu ya bunge,waliudakia wapi sasa kama mzigo ulipita juu ya bunge au bunge halipo ndani ya Israel? Israel niwaongo kupita kiasi,wao wakubali Iran sio hamas,ni mziki mnene
Wee mpumbafu, Wagner waje Tanzania?au wewe una nchi nyingine ya kukimbilia au wewe sio mtanzania?
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Huyu mk254 akili yake aliicha chooni yaani kila siku ni kupost upuuzi,kichwa chake kimejaa matope,nilipumbafu kupita wapumbavu,jinga jinga fulani ambalo halina akili kabsa, mtoto kama haya ya kugeuzwa chakula cha mambo,linanikera sana,waliblock hili lijinga
Sent from my Infinix X688C using...
Wewe unaogopa nini, Mimi nafulahia vita viendelee ili ubabe wa Israel ukome kama ulivyo koma Lebanon,sasa hivi Israel inaogopa Lebanon kwa ligi walio Kutana nayo 2016, Israel hata akiua watu laki 5 lkn na yeye apate machungu ya vita
Hapo ndoo utajua kama hujui sisi wa tz tunatukanana matusi makubwa kisa waarabu na wayahudi,wao wamechagua watwangane wewe mtz kinakuuma nini hadi utoe mitusi mikubwa mkubwa kwa mtz mwenzako?nyie wote hamnazo ila kichwani mmebeba makamasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.