Recent content by kiwa khalid

  1. K

    Iran yalidogesha shambulio la Israel, yasema droni zilizotumika ni kama "matoi"

    Alipelekewa mziki mnene hakuamini macho yake,nasikia bado yupo kwenye handaki,alipatwa na mshituko,
  2. K

    Iran hii jeuri ya kupitisha mizinga juu ya Bunge la Israeli "Knesset" anaitoa wapi?

    Hapo ndoo pabaya kuliko bunge, huyo Israel atulize mshono,ataumia? kwahiyo angeamua yasheke kwenye vinu yangeshuka hapo hapo?
  3. K

    Netanyahu- Israel itajifanya maamuzi yenyewe jinsi ya kulipa kisasi

    Mbona wanamdekeza?wamuache ili achezee kipigo, ajaribu kurusha jiwe iran aone kipigo atakacho Kutana nacho,amuulize Marekani alipo muua kasim kamanda wao,kambi nzima ilisawazishwa na askari walio pona walikuwa wehu,mbona Marekani alituliza mshono,ngoja ajifanye chizi atachizika kweli,
  4. K

    Iran hii jeuri ya kupitisha mizinga juu ya Bunge la Israeli "Knesset" anaitoa wapi?

    Mimi mwenyewe nashangaa kusikia mzigo wote 99%umedakwa wakati umepita juu ya bunge,waliudakia wapi sasa kama mzigo ulipita juu ya bunge au bunge halipo ndani ya Israel? Israel niwaongo kupita kiasi,wao wakubali Iran sio hamas,ni mziki mnene
  5. K

    Kiongozi Mkuu namba tatu wa HAMAS auawa akiwa amejificha chini ya handaki

    Kingereza ni lugha ya kigeni may have killed,sio have killed
  6. K

    Ziara za Paulo Makonda Aibu kwa Jeshi la Polisi na Wasimamizi wa Haki na Sheria

    Wewe ungesema kitu gani na kitu gani arizurum sio maneno ya blaa blaa Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
  7. K

    Je, Wagner walipelekwa Gaza kisirisiri?

    Wee mpumbafu, Wagner waje Tanzania?au wewe una nchi nyingine ya kukimbilia au wewe sio mtanzania? Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
  8. K

    Russia sasa yaanza kutungua makombora ya Israeli huko Syria

    Wee changu,watu wameweka ushahidi lkn bado unakata
  9. K

    Gaza ni Marekani dhidi ya Palestina si Israel na HAMAS

    Toa tuakili twa kitoto hapa Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
  10. K

    Wakati Russia atakapotia neno la kulinda raia wa Gaza, Vita itakwisha

    Huyu mk254 akili yake aliicha chooni yaani kila siku ni kupost upuuzi,kichwa chake kimejaa matope,nilipumbafu kupita wapumbavu,jinga jinga fulani ambalo halina akili kabsa, mtoto kama haya ya kugeuzwa chakula cha mambo,linanikera sana,waliblock hili lijinga Sent from my Infinix X688C using...
  11. K

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na Hamas

    Wewe unaogopa nini, Mimi nafulahia vita viendelee ili ubabe wa Israel ukome kama ulivyo koma Lebanon,sasa hivi Israel inaogopa Lebanon kwa ligi walio Kutana nayo 2016, Israel hata akiua watu laki 5 lkn na yeye apate machungu ya vita
  12. K

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na Hamas

    Hapo ndoo utajua kama hujui sisi wa tz tunatukanana matusi makubwa kisa waarabu na wayahudi,wao wamechagua watwangane wewe mtz kinakuuma nini hadi utoe mitusi mikubwa mkubwa kwa mtz mwenzako?nyie wote hamnazo ila kichwani mmebeba makamasi
  13. K

    Israel yaomba msaada wa silaha kutoka Marekani

    Myahudi amevuliwa chu....p.... Na mgambo Hii ni aibu ya mwaka
Back
Top Bottom