Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
Kwa ilipofikia inahitajika Kiranja wa pili tu kutia neno na mzani ukae sawa vita iishe.
Israel na kichaa chake chote kinachompa Guard mpaka sasa ni Kiranja wa kwanza.
As for now kuna mataifa yameanza kuweka Red line ya kuwa wakiingia Gaza kwa miguu Kinawaka. Iran backers siku zote ni Russia, Pyongyang and China.
In the end Rais wa Palestine akiomba msaada wa kulindiwa Raia wake kutokea west, na Russia and co with technology akarespond hii vita itakwisha.
Iran si kwamba hana wa kumsaidia ama hana backers anao na yeye anafanywa kama speaker ya hao backees, akiwashiana Israel na US akatishia kuintervene, Russia naye atatishia kuintervene au waachwe zipigwe kavu kama kule Sysria. Hii vita itaisha hapohapo.
Kwa nini Russia haingilii mpaka sasa?
1. Wana mahusiano mazuri na Israel.
2. Hii vita ina maslah kwake kwenye vita ya Ukraine.
Anyway vita siyo poa kabisa.
Israel na kichaa chake chote kinachompa Guard mpaka sasa ni Kiranja wa kwanza.
As for now kuna mataifa yameanza kuweka Red line ya kuwa wakiingia Gaza kwa miguu Kinawaka. Iran backers siku zote ni Russia, Pyongyang and China.
In the end Rais wa Palestine akiomba msaada wa kulindiwa Raia wake kutokea west, na Russia and co with technology akarespond hii vita itakwisha.
Iran si kwamba hana wa kumsaidia ama hana backers anao na yeye anafanywa kama speaker ya hao backees, akiwashiana Israel na US akatishia kuintervene, Russia naye atatishia kuintervene au waachwe zipigwe kavu kama kule Sysria. Hii vita itaisha hapohapo.
Kwa nini Russia haingilii mpaka sasa?
1. Wana mahusiano mazuri na Israel.
2. Hii vita ina maslah kwake kwenye vita ya Ukraine.
Anyway vita siyo poa kabisa.