Recent content by kivinje

  1. K

    Kikwete: Nataka kurithiwa na rais kijana!

    Wakuu sifa ya ujana inakosa nguvu kwa vile baadhi ya wagombea watarajiwa wanaofahamika ni watu wazima,kwa maana hiyo akina Zito wanaonyesha kuwa wanawaogopa wagombea hao walio na umri mkubwa na hivyo kutumia sifa ya ujana kuwapunguzia nguvu.Hata hivyo,vijana wa nchi yetu hii ndio wala rushwa...
  2. K

    Diallo: Rais ajaye awe dikteta mzalendo

    Binafsi nimeshangaa sana hata mzee wetu Warioba kusema ujana au uzee ni kigezo katika uongozi.Tafsiri yangu binafsi ni kuwa hamtaki mgombea mtarajiwa fulani ambaye ni mtu mzima mwenzie.Hii iniimarisha hoja kuwa kumbe hata yeye anatanguliza maslahi yake binafsi kwenye mambo yanayogusa taifa letu...
  3. K

    Diesel Particulate Filter

    Wakuu nisaidieni,nimenunua Nissan Navara kwa mtu,nimeendesha kidogo tu taa ya Disel Pariculate Filter(DFP) inawaka na gari linakosa nguvu kabisa.Mwenye kujua wataalam wa kuitoa hiyo taa kwa compter anijulishe,mwenzenu nimepaki tu
  4. K

    NBC ndio Benki Ya Hovyo Hapa Mjini Kuliko Zote it Should Be Closed!!

    Kwa tawi la Iringa uchukue lunch box kabisa kama unaenda asubuhi,foleni ndefu mhudumu mmoja,wakizidi sana wawili,plus adhabu ya kutoongea na simu masaa yote hayo utakayokuwa unasubiri huduma!NBC ni majanga jamani
  5. K

    John Komba: Unaweza kuwa Jaji lakini ukawa Jaji wa ovyo!

    Huko kwao mwenye mitusi mikubwa ndio anayepigiwa kura,2015 atapita bila kupingwa
  6. K

    CCM wametueleza kwanini serikali mbili, Upinzani wanadai tatu bila maelezo ya faida zake .....

    Tukiepuka kutukanana,wote tutakuwa washindi bila kujali matokeo ni S3 au S2,lakini tukikubali kuchangia mijadala inayoanzishwa na wataalamu wa matusi,people will not notice the difference.Tukatae kutukanana,tuelekezane kwa upole na upendo
  7. K

    Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

    Wakuu,baada ya kumwangalia Lukuvi akitutisha sisi wananchi wenzake juzi pale bungeni,mbona nilipata picha kama vile watawala wame panick,kuna kitu gani wanachoogopa kwenye S3(serikali tatu) ambacho wanashindwa kutueleza sisi ndugu zao?Maana kwa akili za kawaida tu hilo swala la jeshi kuchukua...
  8. K

    Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

    Wakuu,baada ya kumwangalia Lukuvi akitutisha sisi wananchi wenzake juzi pale bungeni,mbona nilipata picha kama vile watawala wame panick,kuna kitu gani wanachoogopa kwenye S3(serikali tatu) ambacho wanashindwa kutueleza sisi ndugu zao?Maana kwa akili za kawaida tu hilo swala la jeshi kuchukua...
  9. K

    Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

    Wakuu,baada ya kumwangalia Lukuvi akitutisha sisi wananchi wenzake juzi pale bungeni,iko kama vile watawala wame panick,kuna kitu gani wanachoogopa kwenye S3(serikali tatu) ambacho wanashindwa kutueleza sisi ndugu zao?Maana kwa akili za kawaida,ikiwa utashi wa kisiasa utakuwepo,kwa pamoia ndio...
  10. K

    Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

    Wakuu,baada ya kumwangalia Lukuvi akitutisha sisi wananchi wenzake juzi pale bungeni,iko kama vile watawala wame panick,kuna kitu gani wanachoogopa kwenye S3(serikali tatu) ambacho wanashindwa kutueleza sisi ndugu zao?Maana kwa akili za kawaida,ikiwa utashi wa kisiasa utakuwepo,kwa pamoia ndio...
  11. K

    Hizi Radio ni za CCM?

    Maskini Tanzania,kwishney!
  12. K

    Watanganyika wenzangu tumsikilize kwa makini Tundu lisu kesho

    Tumaini jipyai,Tanganyika.Uswahili na ujanja ujanja uishie Tanzania
  13. K

    Zanzibar siyo NCHI - Jawabu ni A siyo B au C...

    Wako manabii waliotabiri ujio wa Bwana Yesu, watawala wa wakati huo waliwachukia manabii hao, infact Yohana Mbatizaji(nabii aliyetabiri sana kuhusu ujio wa Yesu) alichinjwa kutokana na utabiri huo.Mzee Warioba ni nabii anayetabiri ujio wa Taifa la Tanganyika, watawala wanamkebehi.Ukweli ni kuwa...
  14. K

    Ugumu wa Lowassa kwa CCM ni kwamba: Hakuwahi isaliti CCM popote..

    Subirini moto wa milele wote mliokwaza watu wenye moyo wa kusaidia makanisa na misikiti kujengwa kwa sababu za wivu wa kisiasa! Kweli ole wenu!
  15. K

    Precision Air wamshusha Dr. Azaveli Rwaitama kwenye ndege kisa Lugha

    Kama angeshushwa nyoka tu kosa hili lisingepata publicity. Ukarimu (hospitality) ni tatizo kubwa sana hapa nchini katika sehemu zote za huduma ila jamii haifahamishwi mpaka imhusu mtu maarufu.Mabenki, hospitali; mahoteli, maofisi ya serikali, kumejaa aibu ya kudhalilisha wenye kuhitaji...
Back
Top Bottom