Hi nimeipenda Sana maana fungu la kumi linasaidia Sana kulinda biashara na kazi yako maana nimeona kwangu Mungu ametenda kwa ajili ya fungu la kumi .Itabidi na hayo mengine niyafanyie kazi Asante Sana kwa ushauri mzuri mno wenye faida Sana .Ubarikiwe mno
Mwamnini Mungu Sana hakikisha kwenye klia faida yako ya mauzo utoa sehemu ya 10 ya Mungu ni hela ndogo Sana Ila ina maajabu makubwa mno toa kwa uaminifu utafanya biashara mpaka ushangae
Wewe uliyeketi umeweza kuzuia mkataba kusainiwa ? Mbona umesainiwa na huna la kufanya Bora aliyeshangilia Yanga amepata raha kuliko wewe uliyeishia kusononeka .
Mtaongea Sana lakini medali tunavalishwa tangu muchuano hii ianza Makolo wengi walikuwa wanaumwa vidonda vya tumbo Ila Jana wengi wamepata auheni poleni Sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.