Kwa ramani ilivyo gutter inakaa pembeni ina sijui kwanini mchora ramamni na fundi hawakushautiana gutter ikae nje. Na mimi niliona sawa tu ila kwa sasa ndio nagundua when it is too late
Habari zenu wanajamvi. Nimefanikiwa kujenga nyumba ya flat roof, nyumba ina mitaro darini inayokinga maji ya mvua ila mitaro inaonekana kwa ndani kama mnavyoona ktk hii picha.
Mtaro uko kulia (sebuleni) na kushoto (dining) . Dari haina muonekani mzuri, Naomba mawazo yenu juu ya design nzuri ya...
Habari zenu wana jamvi.
Naomba recomendation za shule nzuri za msingi- english medium ambayo mbali na kufundishwa vizuri, pia watoto wananolewa vizuri kuongea kingereza kizuri.
Itanipa unaafuu zaidi kama nitapata shule zilizo maeneo ya Tegeta-Boko-Bunju. Ada pia iwe stahimilivu🙏
Natanguliza...
Habari zenu wana jamvi,
Nina swali kwa mwenye uzoefu au anaefahamu anijuze, imeainishwa kua fao la uzazi NSSF linatolewa kwa mwanachama mwenye michango 36 ktk mfuko na michango 12 iwe imelipwa mfulilizo kabla ya tarehe ya kujifungua.
Je, mwanachama ambae ana michango NSSf ya miezi 16...
Salamu kwenu wanajamvi,
Nina dada yangu ni mwalimu wa shule ya msingi huko Iringa Kilolo. Anahitaji kuhama mkoa anaopendelea ni Morogoro. Kama kuna anaejua yeyote anaetaka kuhamia Kilolo hata kama hayuko Morogoro naomba tuwasiliane PM.
Shuktlrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.