Mwalimu Ruba Mara Sec... alikuwa akifundisha Kiswahili. Mfupi na mkorofi au akiigiza kutojua kiingereza vizuri, kandambili anaziita two zones, kuruka kichura akiita jump frog frog. Kila mara utamsikia, 'ntakuganda kama ruba.'
Tabia yake ya kutaka kunigeuza mdhamini wa mradi wake niliogundua baadaye alikuwa akifadhiliwa na buzi lake huko awali. Kwangu akataka mtaji wa mara nne!
Kwa hiyo unajitokeshatokesha ili umpime kujua anakutazamaje sio? Wee endelea tu, jamaa keshakudelete. Kama una gutts za kuendelea kujipendekeza, hongera sana!
Hata huyo mtu mzima siku akitabasamu vyema ndo utajua bado analipa, na utaingiwa na mzuka hata kumzamia. Mauzoefu utakayoyapata ndo utajishangaa na roho yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.