Inafikirisha sana, utadhani hio ruvu ilianza kukauka ghafla. Shida viongozi hawana plan ya kukabiliana na tatizo ni kureact tu linapotokea. Wakati kina kinapungua na utabili unaonyesha mvua ni kidogo walifanya nini au ndio business as usually?? Waje wapate political platform tu na hawana hata...
Habari za muda wadau,
Nataka kuanzisha biashara ya samaki aina ya sato na sangara kutoka ziwa victoria hapa Dar, naomba kujua sehemu wanaponunua kwa jumla au njia yoyote rahisi ya kuwatoa ziwani mpaka Dar.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu salama, kuna gari aina ya mazda tribute, inazingua kuwaka kwa muda sasa fundi anasema inekufa ignation coil . Amejaribu kibadilisha lakini bado. Msaada wadau
kweli kabisa japo sio zote ila nyingi ni chenga sana, hakuna maadili wala heshima kuna mtoto nimekutana nae anajua Good morning tu kwa watu wote, hakuna tofauti hata kwa wazazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.