Recent content by kitongaah

  1. kitongaah

    Mourinho ana vituko sana

    Hahahaha
  2. kitongaah

    Kati ya sayansi na imani za dini ipi imejibu masuala muhimu kwa ufasaha?

    Mungu hana mapungufu na unachofikiria ni upeo wa akili yako na sayansi ni akili za binadamu ambazo anazitoa Mungu kwa kipimo hivyo mapungufu lazima yawepooo lakini mungu hana mapungufu na ndio maana mambo yake hayana nyongeza wala editing[emoji122]
  3. kitongaah

    Usiogope kutishwa na kukata tamaa, Mtu akisema maisha ni magumu, wewe thibitisha kuwa maisha ni mepesi

    Kaka ulicho kiandika ndio falsafa ya maisha yangu na hakika ukiwa na falsafa hyo kufanikiwa ni rahisi
  4. kitongaah

    Aina 8 za wapangaji katika nyumba za kupanga

    Me hao wa kusali muda wote na mziki mnene huwa wananikeraaa kwelii
  5. kitongaah

    Kama wewe sio Freemason basi hujui chochote kuhusu Mungu wala ulimwengu

    Ujue kila siku ninapopitia mada zinahusu uwepo wa Mungu huwa nikiona post zako ambazo umekalili baadhi ya maneno na yamekufanya uwe mbumbumbu kupita maelezo ivi anaekudanganya kuwa Mungu hayupo mwambie akome. Mfano kidogo kuhusu uwepo wa Mungu hivi niambie ni nani analitoa jua mashariki na...
  6. kitongaah

    Mrisho Gambo RC ambaye ni smart na focused!

    Mbn el a.k.a lowasa ndo mlimnadi fisadi namba moja ndo mleta mabadiliko chadema na ndo mgombea urais bila kupigwa unaongea upupu gani
  7. kitongaah

    Rais Magufuli awataka Jeshi la Polisi, Mawaziri na watendaji wa Serikali wasijihusishe na ufyekaji bangi mashambani

    Tenaa ikiwezekana wenye mashamba jiran wawe mstari wa mbelekufyeka kuna vitu vingine vinawezekana simple tu basi watu walishazoea kauli za tutaunda kamati tulishughulikie hili wapiiiiii huyu ni JIWEEEE NA mamaaa yanaaaanaenda NGENGEEEEEENGEEER MBONA mtatamani munywe sumuu ndo kwaaanzaaa...
  8. kitongaah

    Natangaza rasmi kuitambua PhD ya Rais Magufuli kama "PhD ya kipekee"

    Ukisha jua inakusaidia nini ndo mimi nataka kujua
  9. kitongaah

    Mtangazaji huyu wa Clouds tv Shadee anazidi tu kutuonyesha kwamba Tanzania kuna maajabu mengi

    Kwani lisu alishaweka mavyeti yake hadharanii na kujadil phd ya mkuru inafaida gani kwa jamiii Afu atulazimishe tuunge mkono hoja haiwez tokea
  10. kitongaah

    Natangaza rasmi kuitambua PhD ya Rais Magufuli kama "PhD ya kipekee"

    Mfanoo ukishaijua PHD ya Rais inakusaidia nini kama ulipata bahat ya kusoma jitaidi uwe unafikra endelevu nyie ndo mnaitwa kiioo cha jamii halafu mnakua na mawazo mgando
  11. kitongaah

    Mtangazaji huyu wa Clouds tv Shadee anazidi tu kutuonyesha kwamba Tanzania kuna maajabu mengi

    Hataaa hajanukuu alipoo kosea sasa sisi tusio angalia tunajuaje kakosea napata wasiwasi huenda kaamka na hangover hvyo tumuelewe tu
  12. kitongaah

    Mtatiro/Zitto: Sherehe za Bombadier zikiisha tuhesabu hasara za ATCL, tumelipa dola mil 60 kukomboa ndege zilizokamatwa

    Kinacho nishangaza tumelipa deni wanasema tukidaiwa wanasema hata mm sijui lipi kwao jema mimi nasema hawana hoja na rais wetu yupo imara na tunazidi kumuombea azidi tuletea heshima nchini mwetu
  13. kitongaah

    Je, Rais Magufuli anaweza kukaa na vyama pinzani meza moja?

    Mbn alishaakaa na lowasa au yeye si mpinzaaaniii
Back
Top Bottom