Mama_Aheshimiwe
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,746
- 4,170
Dume kusifia dume upuuzi hii imekaaje wakuu???
Sijaona hata mchubuko kwenye uso wake...wadaku mmeangukia puaVipi, ameshapona? As far as I know, he neither confirmed nor denied that he was severely beaten! Now any news that prevailed no matter true or false is deemed to be true in absence of counter veining information...
Itakuwa chakula yakeDume kusifia dume upuuzi hii imekaaje wakuu???
kiukweli bwana mdogo katulia sana, anaongea Kwa ufasaha sana, na ni point tupu.View attachment 737172 Namuangalia hapa anavyoshusha taarifa ya mkoa wa Arusha.
Hana siasa anashusha nondo zinazogusa hadi wataalamu.
Ameweza kuunganisha wafanyabiashara.
Anafahamu chanzo cha matatizo mfano sababu ya msongamano katika hospitali ya mkoa na sababu ya vijana kuandamanishwa kila kukicha.
Hatumii nguvu kutatua matatizo.
Unashindwa kujikomboa wewe uliyeambiwa Chenge akiwa mwanasheria mkuu wa serikali ndiye aliyesaini haya madudu yote na kupiga hela nzuri tu ambayo mngenunuliwa NOAH kila raia na leo hii ni miongoni mwa wanachama watakatifu na kiongozi wa bunge letu tukufu.Wewe unayaamini maneno ya wanasiasa wa chama lenu la mafisadi au ? Jikomboeni naona mmefinyangwa na maono ya mafisadi wenu
kamuulize aliyekwambia kuwa amepigwaVipi, ameshapona? As far as I know, he neither confirmed nor denied that he was severely beaten! Now any news that prevailed no matter true or false is deemed to be true in absence of counter veining information...
Usmart wa kijinga kama wako na Magu. Arusha hatuna mpango nanyiView attachment 737172 Namuangalia hapa anavyoshusha taarifa ya mkoa wa Arusha.
Hana siasa anashusha nondo zinazogusa hadi wataalamu.
Ameweza kuunganisha wafanyabiashara.
Anafahamu chanzo cha matatizo mfano sababu ya msongamano katika hospitali ya mkoa na sababu ya vijana kuandamanishwa kila kukicha.
Hatumii nguvu kutatua matatizo.
Mbn el a.k.a lowasa ndo mlimnadi fisadi namba moja ndo mleta mabadiliko chadema na ndo mgombea urais bila kupigwa unaongea upupu ganiUnashindwa kujikomboa wewe uliyeambiwa Chenge akiwa mwanasheria mkuu wa serikali ndiye aliyesaini haya madudu yote na kupiga hela nzuri tu ambayo mngenunuliwa NOAH kila raia na leo hii ni miongoni mwa wanachama watakatifu na kiongozi wa bunge letu tukufu.
najua umeielewa CCM kwa inyelijensia yake
Bado hujaelewa nini?Bado sijawaelewa CCM mpaka kesho.
Mosi Gambo alitimuliwa na Rais pamoja na Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wa Jiji kwa kushindwa kutimiza wajibu wao.
Pili Gambo kupitia wadhifa wake wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kasababisha uchafu katikati ya Jiji kwa kuwaachia wamachinga kufanya biashara hadi mabarabarani
Tatu na Mwisho Gambo si kiongozi anayeamini katika a umoja.