Recent content by Kitombile

  1. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Hiki nilichokifanya hakitoleta shida huko mbeleni

    Kama tulikuwa wote hiyo malaya ni mwendo wa kuachina bila chuki wala wivu.
  2. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Hiki nilichokifanya hakitoleta shida huko mbeleni

    Fanya jambo jamaa asije akagundua atakuona snitch ingawa demu anaonekana toka mwanzo alikuwa hakupendi wewe kwahiyo punguz wivu mwache jamaa ajitafunie minyama kwasasa then baadae awaachie fisi wengine wakina sisi kitombile.
  3. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Baba wa Kambo acheni kuchapa watoto wadogo wa wake zenu mnajidhalilisha

    Peleka mtoto kwa baba yake akaharibu mali za baba yake hukoo
  4. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Hata ukiwa baba wa kambo mwenye upendo kupitiliza, watoto wa kambo wengi wakiwa wakubwa hukusahau na kurudi upande wa baba zao

    Je unahudumia watoto wako mkuu, walikuwa na tabia gani mpaka hukuweza kuwaoa na sasa wanatabia gani zinazokushinda kuwaoa kati yao? Naomba ujibu mkuu.
  5. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa 18 to 29 hafai kwa ndoa kabisa

    Wanawake wote kuanzia miaka 18- 45 wanafanana akili utofauti wao ni body count, kuna katoto ka 2000 kalikuwa na akili za maendeleo kuliko limshangazi langu la miaka 30 hapo ni kubahatisha tu, we nenda kwa mishangazi na sisi wengine acha tupambane na hao naive girls.
  6. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali

    Pole sana inaonekana sio boda boda bali ni linjemba uliloelewana nalo nikakunyandue ndio limekuibia ukiwa guest house, wewe sio wa kuibiwa na boda, pia naona kama unaleta drama mara kuna cheni ya mama ako, mara hela ya kununulia mboga...
  7. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Nikipata hela lazima nitamiliki pisi kali

    Usiangalie pisi kali tu pia unaongeza na kigezo hawe chini ya miaka ya 23, tufuate ushauri wa Natafuta Ajira
  8. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Nieleweshwe

    Uchamungu kumbe nao ni sehemu ya urembo?
  9. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Endeleeni kujifariji kwa hizi data, Mbeya hakuna kitu hapo ni bora mmesemewa serikali iiangalie kwa jicho la tatu, wewe unakaza fuvu ndio maana mnaambiwa watu wa mbeya mna ego sana
  10. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Mtoto ni wa nani, aliyeweka mbegu na kupotea au aliyemrutubisha tumboni na kutoa matunzo?

    Mkuu kama utataka kulea wewe lea tu lakini mtoto ni wa yule aliyeweka mbegu akatungisha mimba akamjaza tumbo, mengine ni kupeana moyo tu.
  11. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Hivi ni kama vichekesho, mwambukusi ameshamaliza kila kitu.
  12. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Ni kabila lipi lina watoto wazuri?

    Watoto wakisukuma wapewe maua yao sio kwa Nyashi wanazomiliki😋
  13. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    We ni mjinga tu Mwanza unafaninisha na msukule wa mji
  14. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Huwezi kutetea kijiji chako adi utaje Mwanza na Dar, nyie pambaneni na likijiji lenu.
  15. Kitombile

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tuorodheshei hapa mikoa kondoo yenye watiifu ambayo ilikuwa imepoa 29 October

    Mikoa iliyokiwasha nataja kwa ukubwa wa muwasho adi chini 1.Dar 2.Mwanza 3.Mbeya 4.Arusha.
Back
Top Bottom