Naona unatumia nguvu kubwa hakuna aliyebisha kuwa mwanamke uliyemkuta bikra hawezi kukusalti lakini kasi ya kuchapiwa na ma ex inapungua pia ubikra ni hali ya usafi, kujilinda na kujitunza kama hutoelewa endelea kupambana na ma single mother yako adi yakukute.
Mwanamke aliyeolewa bikra akageuka kuwa malaya hili jambo ni nadra sana labda kama manyamwezi alimtelekeza akiwa na watoto zaidi ya watatu, anaweza kugeuka malaya ili atunze watoto wake.
SMS inaonesha wanachati mtu na mpenzi wake walioachana lakini boda boda anataka aendelee kupasha kiporo lakini mke wako ni kama vile sitaki nataka, hapo ni wewe kujifix kibingwa, mfate jamaa live mueleze ukweli, ikibidi mfatilie taratibu kama ana mpenzi pita naye au kama ana mke pita naye mke...
Endelea kujifariji na story za kutunga, msichana bikra ni alama ya usafi, labda jamaa tu aje amzingue baadae, huwezi kufananisha vitu vya ovyo na msichana uliyemkuta bikra
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.