Ukiolewa na njemba inayopenda kupika, kufua, kuosha vyombo na kudeki hizi jamaa huwa hazioni shida kukupiga chini wakati wowote hata ukiondoka mwaka hazijali, mimi manzi yangu akiondoka siku moja huwa naona dunia chungu na masaa yanakawia.
Yakija kukufika utaelewa kuwa haya mambo ni sci- fi au ni real, unatukana mambo na hujavuga mto hata mimi sikuwahi kuamini lakini niliposhuhudia kwa mcho yako hakika nikakiri kweli uchawi upo...
Ni umri wa mwanamke kuwa na watoto na kutulia na mume wake, kwasababu tayari umeshatoka kwenye soko la kuolewa ukikomaa utazeeshwa kwa kuchakazea na mikuyenge ya kila aina
Hata mimi na u roho wangu wa nyabe siwezi kuona makulumbembe kuanzia miaka 27 and above niache watoto wabichi naive chini ya miaka 25 nitakuwa mwendawazimu kabisa, watoto wabichi ndio habari ya mjini hata wewe huwezi kununua bidhaa iliyochoka ya muda mrefu na iliyokwishaisha fashion.
We ni fala tu unaacha mke pia ulikuwa umemtelekeza na watoto unajirudisha baada ya miaka kupita ulikuwa unajua anaishi vipi, anakula nini, anavaa nini? Kumbuka pia upwiru hauvumiliki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.