Wanawake wote kuanzia miaka 18- 45 wanafanana akili utofauti wao ni body count, kuna katoto ka 2000 kalikuwa na akili za maendeleo kuliko limshangazi langu la miaka 30 hapo ni kubahatisha tu, we nenda kwa mishangazi na sisi wengine acha tupambane na hao naive girls.
Pole sana inaonekana sio boda boda bali ni linjemba uliloelewana nalo nikakunyandue ndio limekuibia ukiwa guest house, wewe sio wa kuibiwa na boda, pia naona kama unaleta drama mara kuna cheni ya mama ako, mara hela ya kununulia mboga...
Endeleeni kujifariji kwa hizi data, Mbeya hakuna kitu hapo ni bora mmesemewa serikali iiangalie kwa jicho la tatu, wewe unakaza fuvu ndio maana mnaambiwa watu wa mbeya mna ego sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.