Recent content by Kitombile

  1. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Nataka Kuacha Ukristo na Kujiunga na Buddhism – Nianzie wapi Dar?

    Hiyo dini y ukweli sana kuua sisimizi ni dhambi sio hiz dini za manabii na masheikh ubwabwa
  2. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Nataka Kuacha Ukristo na Kujiunga na Buddhism – Nianzie wapi Dar?

    Hakika umefumbuka na umekuwa mtu sasa
  3. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Nataka Kuacha Ukristo na Kujiunga na Buddhism – Nianzie wapi Dar?

    Ukifanikiwa na mimi nishtue hiyo ndio huwa naona ni dini ya ukweli sana na haki, tuachane na upuuzi wa kikristo na uislamu.
  4. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Unajua Umeoa Mke wa mtu, punguza jazba na Relax

    Naona unatumia nguvu kubwa hakuna aliyebisha kuwa mwanamke uliyemkuta bikra hawezi kukusalti lakini kasi ya kuchapiwa na ma ex inapungua pia ubikra ni hali ya usafi, kujilinda na kujitunza kama hutoelewa endelea kupambana na ma single mother yako adi yakukute.
  5. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Unajua Umeoa Mke wa mtu, punguza jazba na Relax

    Huyo anakuwa ni mke wenu sio wako
  6. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Unajua Umeoa Mke wa mtu, punguza jazba na Relax

    Haya maneno huwa wanajifariji nayo wale waliooa ma single mother
  7. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Unajua Umeoa Mke wa mtu, punguza jazba na Relax

    Ukienda kumtafuta wewe na wenzako inatosha.
  8. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Unajua Umeoa Mke wa mtu, punguza jazba na Relax

    Awali ni awali tu, jitahidi utafute chombo kipya hakina services za mara kwa mara
  9. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Unajua Umeoa Mke wa mtu, punguza jazba na Relax

    Mwanamke aliyeolewa bikra akageuka kuwa malaya hili jambo ni nadra sana labda kama manyamwezi alimtelekeza akiwa na watoto zaidi ya watatu, anaweza kugeuka malaya ili atunze watoto wake.
  10. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Nimekuta SMS za jirani kwenye simu ya mke wangu

    SMS inaonesha wanachati mtu na mpenzi wake walioachana lakini boda boda anataka aendelee kupasha kiporo lakini mke wako ni kama vile sitaki nataka, hapo ni wewe kujifix kibingwa, mfate jamaa live mueleze ukweli, ikibidi mfatilie taratibu kama ana mpenzi pita naye au kama ana mke pita naye mke...
  11. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Unajua Umeoa Mke wa mtu, punguza jazba na Relax

    Atalika sana ikiwa ulioa mke wa watu, tafuta bikra uhepukane na hizi ngonjera, ukioa malaya atagonjwa tu hata na vichaa.
  12. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Unajua Umeoa Mke wa mtu, punguza jazba na Relax

    Endelea kujifariji na story za kutunga, msichana bikra ni alama ya usafi, labda jamaa tu aje amzingue baadae, huwezi kufananisha vitu vya ovyo na msichana uliyemkuta bikra
  13. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Wadada Wakisukuma ni wazuri mno, hakuna Wanawake wazuri kama hao hapa Tanzania

    Vipi walikutoa marinda?
  14. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Wadada Wakisukuma ni wazuri mno, hakuna Wanawake wazuri kama hao hapa Tanzania

    Hakika ni warembo na wakarimu sana bila kusahau ni watamu balaa
  15. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Ule upendo wa kweli bado upo?

    bear you're stress alone,and not disturb other!😅😅😅😅😅😅
Back
Top Bottom