Recent content by Kitombile

  1. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Samia Kubadili Dar & Dodoma: Miundombinu Mipya

    Hii serikali ya sasa ni ya Dar na Dodoma sisi watu wa mikoani hakuna tunachofaidika nacho isipokuwa kujengewa matundu ya vyoo vya shule.
  2. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Hivi Mbeya ni Tanzania? Nimekuta Vumbi la kutisha kama Jehanamu. Narudi Iringa

    Sio Mbeya tu hata huku Mwanza tumesahaulika, lakini hii hawamu Mwanza na Mbeya miradi tutaisikia kwenye radio tu.
  3. Kitombile

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukweli usemwe watu wanaumizwa mno

    Sorry mary hapo kwenye avatar yako ulikuwa umekaa kwenye kaunta ya bar?
  4. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Kwanini Huwa ni nadra kwa mikoa kama Dar es Salaam (Pwani) kuripotiwa matukio kama haya?

    Watu wa Pwani walistaharabika toka zamani sana hizo mbaga huwa zipo huko mikoani, kwa wazee wanaotumia nguvu kila kitu.
  5. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Kuna kazi au Majukumu mwanamke au Mwanaume akiziweza kuoa inakuwa kipengele

    Ukiolewa na njemba inayopenda kupika, kufua, kuosha vyombo na kudeki hizi jamaa huwa hazioni shida kukupiga chini wakati wowote hata ukiondoka mwaka hazijali, mimi manzi yangu akiondoka siku moja huwa naona dunia chungu na masaa yanakawia.
  6. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Kuna kazi au Majukumu mwanamke au Mwanaume akiziweza kuoa inakuwa kipengele

    Uhakika wengine hapa tunaoa ili tusaidiwe kupika, kufua na kuosha vyombo japo na kujenga familia pia.
  7. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Hivi Dodoma kuna uswazi kweli?

    Mada ni Mbeya na Dodoma sasa Mwianza na Dar zimetoka wapi?
  8. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Ukiwa bado unajitafuta,yakupasa ukae mbali na waliofanikiwa

    Wewe endelea kukaa na maskini wenzako, mfundishane uchawi, fitina, majungu, roho mbaya, figisu na ushirikina acha sisi tujipendekeze kwa hao matajiri.
  9. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Story za uchawi ni fiction story (stori za kubuni ) na zipo sana kwa ajili ya jamii ya watu wajinga tu

    Yakija kukufika utaelewa kuwa haya mambo ni sci- fi au ni real, unatukana mambo na hujavuga mto hata mimi sikuwahi kuamini lakini niliposhuhudia kwa mcho yako hakika nikakiri kweli uchawi upo...
  10. Kitombile

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Value ya wanawake inapungua haraka, Yule binti aliekuwa too hot tukiwa rika la 20s leo anajitongozesha kwangu tukiwa 30s nimlipie deni la elf 50

    Ni umri wa mwanamke kuwa na watoto na kutulia na mume wake, kwasababu tayari umeshatoka kwenye soko la kuolewa ukikomaa utazeeshwa kwa kuchakazea na mikuyenge ya kila aina
  11. Kitombile

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Value ya wanawake inapungua haraka, Yule binti aliekuwa too hot tukiwa rika la 20s leo anajitongozesha kwangu tukiwa 30s nimlipie deni la elf 50

    Hata mimi na u roho wangu wa nyabe siwezi kuona makulumbembe kuanzia miaka 27 and above niache watoto wabichi naive chini ya miaka 25 nitakuwa mwendawazimu kabisa, watoto wabichi ndio habari ya mjini hata wewe huwezi kununua bidhaa iliyochoka ya muda mrefu na iliyokwishaisha fashion.
  12. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Anadai anaunga watu mabando, mb ndo chanzo cha pesa nyingi alizonazo nina mashaka

    Upotumia nguvu kufatilia watu kuna uwezekano mkubwa ukapoteza marinda yote hata yaliyosalia yakaisha kabisa.
  13. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Anadai anaunga watu mabando, mb ndo chanzo cha pesa nyingi alizonazo nina mashaka

    Umbeya tu na roho za korosho, ukipenda kuchunguza mwanaume mwenzio anapataje pesa utakuja kutamani kuolewa siku moja.
  14. Kitombile

    JamiiForums Tanzania Kuna ushauri ninauomba kutoka kwa baadhi ya watu wenye busara

    Punguza ubahili mkuu
  15. Kitombile

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye single mother kanipiga tukio. Wakuu msaada, sielewi nichukue maamuzi gani?

    We ni fala tu unaacha mke pia ulikuwa umemtelekeza na watoto unajirudisha baada ya miaka kupita ulikuwa unajua anaishi vipi, anakula nini, anavaa nini? Kumbuka pia upwiru hauvumiliki.
Back
Top Bottom