Recent content by Kitombile

  1. Kitombile

    Wanaume mlioaoa wanawake ambao hamkuwakuta na bikira zao je mnawezaje kuishi nao bila hofu?

    Mwanamke ambaye hukumkuta bikra inamaana alishindwa kujitunza na kujiheshimu kama alishindwa kujitunza je atawezaje kutunza watoto na familia yake?
  2. Kitombile

    Mke wangu amebadilika sana

    Huyo mkeo amerudi kwenye default yake,huwezi kumbadilisha na pia ameshapa mtu anayemzagamua accordingly, unaposusa mbususu wenzako wakina sisi tunaendelea kuichapa wewe endelea kufua nguo, kupika pamoja na kuosha vyombo.
  3. Kitombile

    Je nisipo hudhuria harusi ya rafiki huyu kuna lawama?

    Wewe ni jobless pamoja na rafiki yako lakini mnakimbilia kuoa hao wanawake mnawalisha nini au u jobless ni nini? Mnatumia nini kufikiri hiyo mihemko itakuja kuwagharimu.
  4. Kitombile

    Nikifanya mapenzi na mwanamke nasikia raha, itakuwa tatizo gani?

    Je ukifanya mapenI na mwanaume mwenzio huwa unasikia karaha na maumivu makali? Ukija kwa wadada ndio unasikia raha
  5. Kitombile

    GE2025 Je, Maandamano yamefeli mpaka sasa? Barabara nyeupe, mikwara yote kwisha

    Mikwara ilikuwa mingi humu nikajipa moyo tutatoka kumbe ni ushujaa wa nyuma ya ma simu.
  6. Kitombile

    GE2025 Je, Maandamano yamefeli mpaka sasa? Barabara nyeupe, mikwara yote kwisha

    Nilimuwa nawauliza hivi leo tunatka saa ngapi nisije kutoka nikajikuta peke yangu nataka nijiandae waniambie tunatoka saa ngapi adi sasa huku nilipo naona wana wapo bize na michongo ya kutafuta pesa sioni zile mbwembwe za kutoka, hakika watanzania sio watu wakuaminika🤣🤣🤣🤣🤣
  7. Kitombile

    Ni jambo gani mchumba wako alifanya, ukajua huwezi kumuoa au kuolewa naye

    Hapa ndo mlikuwa mnatekenyana nyayo za miguu na huyo kidosho toto nyepe nyepe.
  8. Kitombile

    GE2025 DC Magoti: Kama unataka kuzeeka ukiwa Kiwete andamana, ntawapiga mpaka Sura iwe kama Nyama Choma ya Porini

    Huyu DC mbona anawatafutia dhambi washikaji kumbe ndio huyu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  9. Kitombile

    Ni kweli anavyodai SATIVA kuwa Mtandao wa Simu (Halotel) umehusika 'kumuuza' Humphrey Polepole?

    Au wewe ndio ulikuwa unataka kumtumua hiyo 20000 kabla ya kutuma uka screenshot, sio kitu cha msingi hapo.
  10. Kitombile

    GE2025 Hivi haya maandamano ya tarehe 29 ni ya CHADEMA au mbona sielewi?

    Haya maandamano yangekuwa mazuri zaidi kama hayatahusisha chama wala hitikadi yoyote, bali yawe kwa maslahi ya wananchi tu, tatizo wanataka kutuingiza mkenge kisa maslahi ya mtu au chama fulani.
  11. Kitombile

    GE2025 Hivi haya maandamano ya tarehe 29 ni ya CHADEMA au mbona sielewi?

    Upo sawa kabisa na wasiwasi ndio akili tusije tukafa kwenye maandamo kumbe tunamfia lisu na chadema yake, bora tuwekwe bayana hiyo siku tunaenda kupambania nchi yetu au kumpambania Lisu na chadema.
  12. Kitombile

    GE2025 Mafuriko ya askari polisi na wanajeshi barabarani leo kulikoni?

    Kwamba kazi itakuwepo kwa zile mbavu za wajeda😅😅😅
  13. Kitombile

    Members gani wa JF unadhani wanaweza kutengeneza super couple? Wapo Compatible japo sio wapenzi

    Zemanda/ Natafuta Ajira hawa wanaenda zaidi na Jadda hakika ndoa kati ya hizi couple itakuwa ni mfano wa kuigwa.
  14. Kitombile

    Ulikabiliana vipi na suala la upotevu wa nywele (kipara) kwa mara ya kwanza

    Wewe afadhali yako upo floor ya tatu wengine kipara kilianza toka nilipokuwa na miaka ishirini japo naelekea floor ya tatu bado mvi na sura imeshakunjamana kama ya mzee lakn nishakubaliana na hali yangu we jikubali tu cha muhimu pesa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Back
Top Bottom