Huyo mkeo amerudi kwenye default yake,huwezi kumbadilisha na pia ameshapa mtu anayemzagamua accordingly, unaposusa mbususu wenzako wakina sisi tunaendelea kuichapa wewe endelea kufua nguo, kupika pamoja na kuosha vyombo.
Wewe ni jobless pamoja na rafiki yako lakini mnakimbilia kuoa hao wanawake mnawalisha nini au u jobless ni nini? Mnatumia nini kufikiri hiyo mihemko itakuja kuwagharimu.
Nilimuwa nawauliza hivi leo tunatka saa ngapi nisije kutoka nikajikuta peke yangu nataka nijiandae waniambie tunatoka saa ngapi adi sasa huku nilipo naona wana wapo bize na michongo ya kutafuta pesa sioni zile mbwembwe za kutoka, hakika watanzania sio watu wakuaminika🤣🤣🤣🤣🤣
Haya maandamano yangekuwa mazuri zaidi kama hayatahusisha chama wala hitikadi yoyote, bali yawe kwa maslahi ya wananchi tu, tatizo wanataka kutuingiza mkenge kisa maslahi ya mtu au chama fulani.
Upo sawa kabisa na wasiwasi ndio akili tusije tukafa kwenye maandamo kumbe tunamfia lisu na chadema yake, bora tuwekwe bayana hiyo siku tunaenda kupambania nchi yetu au kumpambania Lisu na chadema.
Wewe afadhali yako upo floor ya tatu wengine kipara kilianza toka nilipokuwa na miaka ishirini japo naelekea floor ya tatu bado mvi na sura imeshakunjamana kama ya mzee lakn nishakubaliana na hali yangu we jikubali tu cha muhimu pesa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.