Recent content by kitoke

  1. K

    Ziara ya Magufuli Bukoba tarehe 16 Septemba, 2015 yaahirishwa

    BUKOBA KIMENUKA Ni baada ya kuhairishwa kwa ziara ya Magufuli ilopaswa kufanyika kesho tarehe 16/09/2015. =Sababu zifuatazo; -Baada ya watu kupata taarifa ya ujio wake walibandika mabango makubwa yenye picha ya Lowassa mji mzima. -waliweka bendera za CUF na CHADEMA mji mzima kuanzia Kibeta...
  2. K

    Connecting Dots: Kingunge kudhibiti taarifa ya hali ya Mwalimu UK 1999 na Urafiki wa ghafla na EL

    Ninachoamin ni kuwa nyerere hakufariki tar 14 /10 tunayoiadhimisha leo.............. Something behind the scene going on....
  3. K

    Kamati Kuu ACT-Wazalendo yakutana Double Tree Hotel, Dar - Agosti 15, 2015

    Muda huu hapana mangula na nape wapo kwenye kikao cha baraza la uvccm taifa.... Pale mwalimu nyerere conference center
  4. K

    Majina ya Walioteuliwa kugombea Ubunge, Uwakilishi na Viti Maalum CCM katika Uchaguzi 2015

    Haya ni maajabu.... Waliotajwa list of shame ndan, escrow ndan, na bongo movie ndan.... Masaburi family mtoto baba na mama ndan.......................
  5. K

    Kwa sababu hizi 3 nitamchagua Lowasa

    Epa siyo ya chenge unamuonea na tibaijuka kuhusu escrow umewanea bure
  6. K

    Lowassa ni kiongozi, mwenye ukomavu, akili, busara na nguvu kubwa sana

    Lowassa ameonyesha ukomavu wa siasa karibu ukawa jembe tuchukue nchi mwaka wako huu
  7. K

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Lowassaaaaaaa inajulikana ndo rais wa awam ya tano Kwa njia yoyote Ile na kupitia Chama chochote kile
  8. K

    Lowassa: Hakuna kitu nilichofanya bila Kikwete Kujua

    Lowassaaaaaaa inajulikana alionewa alibeba Chama na serikali means alitolewa mbuzi wa kafara
  9. K

    Spika anajuaje waliosema Ndiyo au Hapana wameshinda?

    ccm wachache sana bungen weng ni ccm masilah!
  10. K

    Tutakutana Oktoba 2020-CHADEMA!

    hii ni hatar tukutane 2025! watakula malimao sana!
  11. K

    Swali la kichokozi, Kwanini Membe anaamini kwamba familia ya rais inamuingiza Ikulu

    membe ana laana kubwa ya pesa ya gadafi!
  12. K

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    tanzania hii hakuna mpinzan hata mmoja wote wachumia tumbo na walev wa sifa!
  13. K

    Majina matatu kati ya matano yatakayopitishwa na Kamati Kuu ya CCM na sababu zake

    kwanini unalipa tumbo kufikiria kwa niaba ya kichwa nilikuwa nakuheshimu ila sikuheshimu tena....................udini ukabila ,gender still in your head seriously?????????????????
  14. K

    Edward Lowassa special thread

    mh lowassa popote ulipo naomba upokee pongez zangu kama kijana na mtanzania pia na comrade wa chama cha mapinduzi pongez zangu ni kwa nyanja moja ya kukikuza chama kiujumla tangu uanzishe vuguvugu la kutaka kwenda ikulu chama chetu kimepata wanachama wengi ,pia hata wale waliotaka kuhama...
  15. K

    Hatma ya UKAWA Juni 27, 2015

    tatizo linalosumbua ukawa wote ni team masilah........................ fighiting for their own interest wachumia tumbo ruzuku vip....??haitosh kujenga hat ofisi kweli vip na ile michango ya majukwaan ...................aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...
Back
Top Bottom