kalichumbage
Senior Member
- Jul 5, 2015
- 101
- 41
Lowasa gooooooooooooo
1. Richmond ni ya kikwete yuko ccm ( hajakanusha tuhuma)
2. Epa ni ya chenge yupo ccm
3. Escrow ni ya tibaijuka yuko ccm
4. Kiwira ni ya mkapa yuko ccm
5. Kuuza nyumba za serikali na skendo ya ufisadi wa bil 255 wizara ya ujenzi ni ya magufuli yuko ccm
sasa hapo upinzani na lowasa siwaoni kwanini nisimpe kura yangu?????
lowassa ni raisi ajaye.mungu ni mwema
lowasa ni mafya kawapa sumu mwakyembe hawezi kuw rais,