Kwa sababu hizi 3 nitamchagua Lowasa

Kwa sababu hizi 3 nitamchagua Lowasa

1. Richmond ni ya kikwete yuko ccm ( hajakanusha tuhuma)

2. Epa ni ya chenge yupo ccm

3. Escrow ni ya tibaijuka yuko ccm

4. Kiwira ni ya mkapa yuko ccm

5. Kuuza nyumba za serikali na skendo ya ufisadi wa bil 255 wizara ya ujenzi ni ya magufuli yuko ccm


sasa hapo upinzani na lowasa siwaoni kwanini nisimpe kura yangu?????

Tibaijuka unamuonea,ESCROW ni ya Mkullu & Familly na wote wako CHICHIEM
 
Yale madudu aliyoyaibua CAG ni ya Dr. Magufuli na yupo CCM
 
Epa siyo ya chenge unamuonea na tibaijuka kuhusu escrow umewanea bure
 
Escrow, EPA na Richmond ni ya Mamlaka toka juu.
Chenge yake Rada.
Tibaijuka na umiliki wa kiholela wa ardhi.
Kiwira ni ya bwana Ben.
 
Nazid kuwasih wote wapenz wa UKAWA na lowasa tukajitokeze kupiga kura sikuhusika!!,!!!ITAPENDEZA
 
Back
Top Bottom