tatizo sio ada ila michango ni mingi na haina kichwa wala miguu na haikwepeki, unamlazimshaje mzazi achangie ujenzimwa shule wakati mwanawe anasoma miaka minne kisha anaondok? serikali iangalie hili suala kwa jicho la tatu wazazi wanaumia sana na hawana pa kusemea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.