Recent content by Kitesurfing flamingo

  1. Kitesurfing flamingo

    Kuna uhusiano gani kati ya wabeba vyuma na ushoga?

    Ni kweli wabeba vyuma wengi wa Dar wanaongoza kutembea na mashoga nandio mana mashoga wengi wanaenda Gym kutafuta mabwana wenye six packs. Kwani mtendaji na mtedwaji wote si mashoga?
  2. Kitesurfing flamingo

    Jambo gani ambalo huwezi kulisahau?

    Dah😭 ni kikumbuka mwaka 2014 wakati matokeo ya kidato cha Nne yalipo toka kuna rafiki yangu kabisa, yeye alifauru mimi ni kafeli 😬, basi jamaa akaanza kunicheka kuwa kanizidi hakili mimi sina hakili, Mtaa kwenyewe watu wananicheka kuwa Nimefeli. Kiukweli maisha yalikuwa magumu sana kipindi hicho...
  3. Kitesurfing flamingo

    Inakuwaje Mtangazaji asiyejikomba kwake Bakari Msulwa wa TBC kateuliwa kuwa DC, lakini Mwenzake wa Kujikomba Hassan Ngoma wa Clouds 360 kasahaulika?

    Mkuu huyu Mr. Hunger Masikio Pua ndio nani wengine hatumjui, kaubuyu kidogo ikiwezekana na kapicha ka udaku,
  4. Kitesurfing flamingo

    Wazamiaji wa miaka ya 90

    Mkuu unajua kuwa Zanzibar ni sehemu ya utali? Sehemu yoyote hapa duniani yenye vivutio vya watalii wenyeji wanao jishughulisha na utali wanakuwa na advantage ya kwenda ulaya au marekani,
  5. Kitesurfing flamingo

    Wazamiaji wa miaka ya 90

    Daah! Inasikitisha sana kuona watu wengine wana tuharibia sifa yetu ya Utanzania!
  6. Kitesurfing flamingo

    Wazamiaji wa miaka ya 90

    Kweli, Mkuu hebu fafanua kidogo hapo ilikuwaje mpaka ikawa hivyo? Masuala ya viza
  7. Kitesurfing flamingo

    Wazamiaji wa miaka ya 90

    Nahisi inategemea upo jela kwakosa gani? Kama mhamiaji haramu ?
  8. Kitesurfing flamingo

    Wazamiaji wa miaka ya 90

    Kwa bahati mbaya saiv sipo Zanzibar, Mkuu kuwa beach boy sehemu zenyewe uende: Nugwi, kiwengwa, pwani Mchangani, paje, kuhusu lugha usiwaze utaijua ukiwa upo Beach.
  9. Kitesurfing flamingo

    Wazamiaji wa miaka ya 90

    Acha namimi nishare ideal yangu hapa, Hii kwavijna mwenye ndoto ya kwenda huko wanakokuita Europe. Moja, futa wazo la kutaka kujilipua! Kwasababu utakapo fanya hivyo utajiharibia status yako ya Utanzania. Kwa saivi Ulaya warabu kutoka Syria na nchi nyingine za Africa kwa kuzamia saiv siyo rahisi...
  10. Kitesurfing flamingo

    Ushawahi kuzaa shombe shombe kudate na mhindi, mwarab, mzungu, mchina au race nyingine?

    Njooooo!!!!!! Zanzibar mkuuuuuu ujichukulie toto la kizungu :)
Back
Top Bottom