Recent content by kitemaman

  1. kitemaman

    Watangazaji wa Star TV

    professionalism hakuna startv wameamua kuua chombo hicho kwa miadi ya ukanda ,ubinafsi#uchama. Ndyo maana watangazaji wa maana wamekimbia kamuntu..yahya...baruani#others
  2. kitemaman

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    ndugu yangu hizi no siasa..maneno ya kanga hayakusaidii
  3. kitemaman

    Nchimbi, Sophia Simba na Kimbisa wasema hawakubaliani na Uamuzi wa Kamati Kuu(CC)

    mkuu kuwa objective. tatizo siyo lowasa kukatwa jina..tatizo no ukiukwaji was kanuni za uteuzi unazi mwingine bwana
  4. kitemaman

    Mkosamali: Tulifanya vurugu ili tufukuzwe Bungeni

    badala ya kupeleka hoja ya kuwa na time huru ya uchaguzi mnapanga nmna ya kufukuzwa bungeni.. sifa zingine bwana
  5. kitemaman

    Lowassa's juggernaut rolls on and mwalimu can't stop him this time!

    poor you...how many are you?The guy is our smart president who will subsequently reform our esteemed at your political ngos...sorry for that
  6. kitemaman

    George Simbachawene anatapatapa

    Ic we ni Mani? mgombea au mpambe kwani unaonekana hata darasa la saba haukulisoma vizuri ..kufikri # kuandika kwako ni shidah..aibu
  7. kitemaman

    Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

    Unajua nchi hii bwana kila MTU anaongea kutetea maslahi take ..kingunge alichokifanya no kutuo onto kwa watu wenye hekima ndogo ambao maneno na matendo yao yamekua yakitaka kuonesha kuwa lazima Lowasa akatwe..amesisitiza kuwa wajumbe wa vikao vya mauzi wasiendeshwe #utashi wao ..sasa kwa...
  8. kitemaman

    Kafulila amewakosea wapiga kura wake?

    Ukweli anaujua kafulila..harudi bungeni
  9. kitemaman

    Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

    Ombundsman..hii imewasaidia
  10. kitemaman

    Wanaotangaza nia ya Kugombea Urais mtegoni!

    law attracts both negative #positive constructions..my god..have you gone through jurisprudence?
  11. kitemaman

    Hii ndo tatu bora ya wagombea wa CCM

    Kuna vyama ambavyo mgombea wao huamuliwa kwa maoni ya watu wachache wenye his a kubwa CCM si moja ya vyama hivyo kavisaidie vyama hivyo vingine kutoa maoni yako hayo Vikao vitaamua kabsa nani anafaa kupeperusha Bender ya chama.. CCM siyo SACCOSS ya kisiasa..ushindi uko pale pale
  12. kitemaman

    Je ni kweli mahakama ni mhimili huru au ni taasisi ya serikali?

    Well said..nikubariane nawe kama kigezo cha kua guru ni kujichagulia uongozi ktk mhimili husika..spika anachaguliwa na wabunge he binge in guru kuliko mahakama zetu siyo? Kwa hyo Uhuru was mahakama ni kutoa maamuzi dhidi ya ruling class tu siyo...fiat justitia ruat coellum
  13. kitemaman

    Je ni kweli mahakama ni mhimili huru au ni taasisi ya serikali?

    Kuchaguliwa jaji mkuu na majaji hakiwezi kuwa kigezo pekee cha Uhuru was mahakama kumbuka..kama unaweza..no kesi ngapi serikali imeshindwa...hata za uchaguzi..lema na lisu wangekuwa wabunge kama mahakama zingekua unavyotaka kutuaminisha...usipuuze kazi za mahakama ktk kulinda Uhuru na haki za...
  14. kitemaman

    Makongoro Nyerere, urais hautafutwi kirahisi hivyo! Watanzania muwe macho!

    Hivi mkuu huoni aibu kujibu hisia zako zisizo hata na chembe ya impricism as if no mawazo ya watanzania...acha dharau...Pima hoja au kaa kimya unadhani wanaonyamaza hawajui kuandika...mtaifanya jamii forum Lowe jukwaa la mabwege...jifunze bwana yaani unadhani kila anayetangaza nia ndo kawa rais...
  15. kitemaman

    Mbunge Moses Machali wa NCCR, kutogombea ubunge Kasulu Mjini

    Wenye akili tulijua hill..kuzozana na Zitto...kutukana wahenga ..kutumiwa na mbatia could mean this...that was your golden opportunity which you didn't honour...Moses..no uamuzi mzuri naamini hata Mkosamali ama anataman kufanya hivyo au atakufa na tai shingoni..umeshapata mtaji jenga maisha sasa...
Back
Top Bottom