Recent content by Kiteitei

  1. Kiteitei

    2016 Toyota Harrier Crossover SUV ya kifahari, imara na inayoaminika

    Umechambua vyema kabisa,nimeagiza suzuki i wish ningeweza kubadilisha nikae humu
  2. Kiteitei

    Ukatili wa beer ya brutal hauko kwenye kiwango cha kilevi

    Wanunuaji hawanywi na wanywaji hawanunui......
  3. Kiteitei

    Picha: siagizi tena bidhaa kutoka china

    Hao jamaa wahuni sana tuu,nimeagiza taa za sola nikajua naenda kupakia kwenye kirikuu,zimefika kwenye kikasha saizi ya kiganja
  4. Kiteitei

    Shahidi wa mwajiri agoma kutokea kwenye hearing

    Ndugu wahi CMA haraka kafungue kesi,hapo unaweza kupiga mpunga mrefu sana kama fidia! Kesi nyepesi mnoo kwako....ila tafuta wakili .....akikusimamia vizuri naiona 500m hapo
  5. Kiteitei

    DOKEZO Nini maana ya likizo ikiwa muda wa likizo ukifika wanafunzi wanaambiwa waendelee kwenda shule

    Muda wa likizo mtoto anatakiwa kupumzisha akili na kujifunza maisha ya nje ya shule!!!wengine wanapewa kazi kibao za kufanya nyumbani(wamezibatiza holday package)....naona kama hawa waalimu wanakwepa majukumu yao na zaidi wanawa stress tut watoto!hili nalo litazamwe
  6. Kiteitei

    Naota napigana nashtuka nmepiga ukuta damu zinatoka mkononi. Tatizo nn

    Ndugu ulikula lakini kabla hujalala???isije kuwa una tatizo la njaa au kula ugali usiku
  7. Kiteitei

    Joyce Kiria: Mwanamke kumhudumia mwanaume ni ujinga

    kila la heri kwake, ila kwa kucha hizo naamini makalio na sehemu yake ya kukojolea vitakuwa na ukurutu,fangasi na ukoko sugu kwa kushindwa kujiswafi vizuri.....pathetic
  8. Kiteitei

    Biashara ya kusafirisha nyama ya Nguruwe Morogoro - Dar-es-Salaam

    Safirisha wazima mkuu,peleka moja kwa moja machinjioni,jamaa wananunua hata uwe na lori mbili
  9. Kiteitei

    Nahitaji kusahau tukio zito alilonipiga X wangu

    Nimekutana na x wangu amekondaaa ... Umbwaa yulee....
  10. Kiteitei

    Mate kujaa mdomoni, tena yenye harufu mbaya wakati wa kuamka asubuhi husababishwa na nini?

    Mara moja kwa miaka miwili halafu unakumbika!! Mkuu ulitoa lita 10 niniii?
  11. Kiteitei

    2006 Ulikuwa wapi

    Ipo haja kuanziasha JF nyingine, hii tuwaachie watoto na vijukuu zetu
Back
Top Bottom