Muda wa likizo mtoto anatakiwa kupumzisha akili na kujifunza maisha ya nje ya shule!!!wengine wanapewa kazi kibao za kufanya nyumbani(wamezibatiza holday package)....naona kama hawa waalimu wanakwepa majukumu yao na zaidi wanawa stress tut watoto!hili nalo litazamwe
kila la heri kwake, ila kwa kucha hizo naamini makalio na sehemu yake ya kukojolea vitakuwa na ukurutu,fangasi na ukoko sugu kwa kushindwa kujiswafi vizuri.....pathetic
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.