Recent content by KITASA

  1. K

    Msaada please: Application nzuri ya kurekodi calls

    Hiyo nzuri ya mobile tracker ni ipi chief na mm niijue?
  2. K

    Hakuna Beef kati ya Ali Kiba na Diamond ila kuna Beef kati ya Ali na Sallam

    We Mzaramo where do u get ol this time. If ur in his pay roll then ts ok.
  3. K

    Huu ni udhalilishaji wa Polisi kuwavisha mabango watuhumiwa!!

    SOMENI HIYO SECTION 59 YA CRIMIMINAL PROCEDURE ACT KUONA POLISI WANATOA WAPI HAYO MAMLAKA ACHENI MANENO MENGI. 59.-(I) Any police officer in charge of a police station or any police officer investigating an offence may take or cause to be taken measurement of prints of the hand, fingers, feet...
  4. K

    Shibuda amshambulia Tundu Lissu bungeni

    sijaona hoja hapo yakuleta hapa, swala lililokuwa mezani ni kuanzasha kamisheni ya kiswahili sasa kisa Tundu ni CHADEMA mwenzake ndo asimrekebishe......we akili yako kila kitu inawaza siasa tu
  5. K

    Kesi ya Kiongozi Uamsho: Mawakili watishia kujitoa, Sheikh Farid anyolewa ndevu...

    hao mawakili wao vilaza sana, wakili ninayemjua mimi asusii kesi hata siku moja bali anajiandaa kwa hoja za kisheria kutetea wateja wake ukiona kasusa ujue mvivu wa kusoma. USHAURI kususa kwao ndo dalili za Farid kufungwa so Shekh atafute wakili mwingine au ajiandae kunyolewa tena.
  6. K

    Vyombo vya usalama acheni propaganda, Sheikh Farid mlimteka kweli, ushahid huu hapa...

    kumbe we ndo msemaji wake!! tena walikuwa wanakutafuta. any way sajaona ushahidi wowotw hapo whch mins ts either I or U kuna mmoja we2 hajui maana ya ushahidi. we mwenyewe cheti chako ulichojifunzia kutafuta ushahidi ni feki sasa unashangaa watu kuea na vitambulisho...
  7. K

    Hivi ni lipi hasa kosa la Edward Lowasa? Naomba kufahamishwa!

    0713800800 mpigie umuulize
  8. K

    Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    hapo kwenye mafunzo ya vitisho ndipo kwenye tatizo kubwa. wel said bro.
  9. K

    Manumba: Polisi lipizeni kisasi

    nimegundua vilaza na aoga ni wengi, mbona kauli haikuishia hapo? amesema walipe kisasi kwa kuwakamata waliomuua xaxa we unaogopa nn kwani we ndo muuaji. au mnajisahaulisha kuwa hamjui kama moja ya kazi zao ni kukamata wahalifu?! najua kwa baadhi yenu wauaji wale si wahalifu ndo mana mnashangaa
  10. K

    Kikwete: Pamoja na utoto wake, kijana alifanya kosa kubwa kukojolea msahafu!

    pumba tupu, ameshindwa kuzuia hisia zake. kwa hyo angekojolea m2 mzima ndo hasira zao dhidi ya makanisa zingekuwa justified? mambo ya kesi ya nyani kwa ngedere hayo.
  11. K

    "Ukweli" kuhusu kifo cha RPC Barlow ni huu hapa...

    huyo mwenye mke si aingie humu JF atuweke wazi! au ndo watamdaka akawasaidie pamoja na mke wake?
Back
Top Bottom