OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 228
Mawazo mfilisi. Kajipange kwanza wewe bongo lala. Umbea jamii forum una degrade status ya jukwaa.
Shibuda ni mwanasiasa mkongwe mwenye makeke licha ya kua na umri mkubwa lakini bado anaonesha kua na nguvu kama vijana bungeni.Anatofauti kubwa na wanasiasa wengi ambao mara nyingi wanaendeshwa na misukumo ya vyama,siasa ama mabwana zao,shibuda husimamia haki hata kama chama chake hakipendi yeye kufanya anachofanya,mifano ni mingi lakini hili la jana mh lisu kutoa mifano yenye kutukana ni mojawapo.Binafsi namfananisha mh shibuda kama mesi kwani kokote lazma ang'are.CCM walipo mchakachua lakini kupitia CDM ameweza kutetea kiti chake.Naamini hata akihamia CCJ lazma atashinda na kurudi mjengoni.Hawa ndio aina ya wanasiasa tunao wahitaji nchini licha ya watu wasio na mapenzi mema kuwachukia kwa sababu zao binafsi.Hongera sana Mh shibuda
si kila jambo linahitaji ushabiki wakisiasa acha ujuha!
Ni kawaida ya Magamba kudandia hoja zisizowahusu.Gamba linakuwasha wewe.
Wewe gwanda litakua linakubana ni bora ukae kimya.Lazma wewe utakua ni yule ambaye matusi ndio kiunganishi haiwezekani mtu atoe matusi bungeni umtetee kisa mwana chama mwenzio,huo ni ujuha!
washabiki wa cdm wengi wao wanafikiri kupitia chupa ya bia kwani tundu ni malaika kila anachosema kiko sawa kurekibishana ndio demokrasia acheni dhana potofu kudhani viongozi wenu kila kati wako sawa au kwakuwa hatoki kupitia kanisa mbona mbowe kamsifia kikwete laiti angefanya zitto mngepata la kusema leo hapa jf
sijaona hoja hapo yakuleta hapa, swala lililokuwa mezani ni kuanzasha kamisheni ya kiswahili sasa kisa Tundu ni CHADEMA mwenzake ndo asimrekebishe......we akili yako kila kitu inawaza siasa tu
cdm itaangamia kama haitakubali kukosolewa ndani na nje ya chama. Hata muwa huwezi kuula tu unasikia utamu na usikutane na fundo. tafakari chukua hatua.