Recent content by kitali

  1. kitali

    Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    Siku ukijua akili ninini ndio utajua huko kichwani umejazwa upuuz mtupu. Wewe unaprogramiwa kuwa mtumwa then unajiita mwenye akili. Asilimia 90 ya bilionea dunian walidrop chuo kuja kukimbiza na ndoto zao. Wewe endelea kujidanganya na vyeti vya A. Mzee ukishafikisha miaka 45 kwenda juu watu...
  2. kitali

    Ufaransa yadaiwa kufuta mwaliko wa Afrika Kusini kwenye mkutano wa G7 kwa shinikizo la Marekani

    Nawaunga mkono wamarekani. Wasauzi wangese sana juz kati nilikuwa huko wanawaua waafrika weusi kinyama sana eti kisa wanachukua kazi zao. Ambazo wenyewe hawataki kuzifanya
  3. kitali

    Hizi nyumba zina siri nyingi sana, watu wengi hawana vitanda

    Ukienda uarabuni wewe utasema waarabu wote wachovu
  4. kitali

    Sherehekeni kwa muda, mnaenda kupewa somo

    Huu ushuzi unaofikiria wenzio washaamka bwashee.
  5. kitali

    Mke wangu kaacha ndoa yake kisa kazi

    Wewe ni kilaza promax. Yaan mkeo anataka kazi wewe unamzuia. Huu ushamba mtauacha lin?
  6. kitali

    Wakanisa Mtaficha Wapi Hizi Aibu Duniani

    Mbona kuna ustaadh anaendesha madrasa kafira katoto hamsemi sheikh wangu. Uchafu hauna dini. Sisi hatumtambui Muhammad na mstake kujipendekeza kwetu. Hatuongeleagi uislam kanisani. Maana ni Mungu wa kiarabu
  7. kitali

    PICHA: Ulinzi wa Rais Samia ni wa Kikomandoo na haujawahi kutokea barani Afrika. Hata sisiminzi hawezi kukatisha

    Pale Venezuela maduro walimchomoa kama kama kifaranga. Wazee wakikuamulia huna ulinz
  8. kitali

    Kama kweli makanisa yanaongozwa na wasomi, ni kwanini picha feki ya Yesu mzungu bado inatumika? Yesu alikuwa Mweusi, kuna anayebisha?

    Sio jina lako ni la Francis bro. Bado una hangover ya kutawaliwa na wazungu in your mindset bro
  9. kitali

    Wanafunzi wa Yesu Walikuwa Waislam - Quran

    Muhamad hakuandika Qur'an na wale walioandika waliandika 5 tofauti Othman akachagua hii moja akachoma zile nyingine sijui kwa amri ya nani.
  10. kitali

    Ila wakristo bana, mnaanzaje kusema Yesu ni Mungu hali ya kuwa yeye mwenyewe anakataa

    Nimesoma vyote cjapata jibu. Nimekuuliza kuabudu ni kufanya nini? Kama jibu ndio hilo basi nyie ndio wale wanaoitwa warithi wa mila za dini hujawah kujiuliza nje ya unavyoamini
  11. kitali

    Nauliza tu wajameni, yule Mbunge aliebinuka bungeni kwenye meza, alirudi bungeni awamu hii?

    Mimi nilimuunga mkono. Maana hii nchi bila maigizo husikilizwi. Kama kwa kufanya vile walimsaidia shida yake kwanini asipige sarakasi
  12. kitali

    Ila wakristo bana, mnaanzaje kusema Yesu ni Mungu hali ya kuwa yeye mwenyewe anakataa

    Ndio maana nikakuambia wengi mnaabudu msicho kijua. Nenda tena kafanye utafiti wako uko mbali sana na jibu. Swali la pili hujajibu pia. Nimeuliza kuabudu ni kufanyaje
Back
Top Bottom