Siku ukijua akili ninini ndio utajua huko kichwani umejazwa upuuz mtupu. Wewe unaprogramiwa kuwa mtumwa then unajiita mwenye akili. Asilimia 90 ya bilionea dunian walidrop chuo kuja kukimbiza na ndoto zao. Wewe endelea kujidanganya na vyeti vya A. Mzee ukishafikisha miaka 45 kwenda juu watu...
Nawaunga mkono wamarekani. Wasauzi wangese sana juz kati nilikuwa huko wanawaua waafrika weusi kinyama sana eti kisa wanachukua kazi zao. Ambazo wenyewe hawataki kuzifanya
Mbona kuna ustaadh anaendesha madrasa kafira katoto hamsemi sheikh wangu. Uchafu hauna dini. Sisi hatumtambui Muhammad na mstake kujipendekeza kwetu. Hatuongeleagi uislam kanisani. Maana ni Mungu wa kiarabu
Nimesoma vyote cjapata jibu. Nimekuuliza kuabudu ni kufanya nini? Kama jibu ndio hilo basi nyie ndio wale wanaoitwa warithi wa mila za dini hujawah kujiuliza nje ya unavyoamini
Ndio maana nikakuambia wengi mnaabudu msicho kijua. Nenda tena kafanye utafiti wako uko mbali sana na jibu. Swali la pili hujajibu pia. Nimeuliza kuabudu ni kufanyaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.