Recent content by kitali

  1. kitali

    JamiiForums Tanzania KERO Kumekuwa na ujenzi holela wa nyumba za ibada kwenye makazi ya watu. Wahusika hawaoni?

    bora makanisa. hili jambo limeanza miaka na misikiti mkuu
  2. kitali

    JamiiForums Tanzania Iran: kwasasa hatuna chaguo zaidi ya kutengeneza Bomu la atomiki kukabiliana na vitisho vya kijeshi dhidi ya marekani na Israeli.

    sasa ukae kimya wanaume wanavyoleta ndege kilometa 2000 na kutawala anga yako huku nusu ya viongoz wako wakiuawa. wanakuachia kubweka mitandaoni tu kama kibaka
  3. kitali

    JamiiForums Tanzania Maoni binafsi: Serikali Inachochea Biashara ya Ukahaba kwenye Treni za SGR

    acha kuwaza uzinz mkuu hutaona shida
  4. kitali

    JamiiForums Tanzania Iran: kwasasa hatuna chaguo zaidi ya kutengeneza Bomu la atomiki kukabiliana na vitisho vya kijeshi dhidi ya marekani na Israeli.

    nasikia hata kutembea hawez achilia mbali kuishi shimon kama panya
  5. kitali

    JamiiForums Tanzania Nini kinafanya Uislamu kuzidi kuwa na ushwawishi na kushamiri Tanganyika?

    ugopa dini inaenezwa kwa ngono mkuu
  6. kitali

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wanaowacheka watu waliojenga nyumba badala ya kufanya biashara

    we kwanini unalala njian
  7. kitali

    JamiiForums Tanzania Putin anapata tabu sana kwa mashambulizi ya Ukraine nchini mwake!!

    msala mwingine ni kuwa kuna hatar ya kutokea kugawanyika kwa majimbo na kutokea nchi mpya ndani ya urusi. chechen muda sio mrefu watalianzisha.
  8. kitali

    JamiiForums Tanzania Hapa ndipo unajua wamagharibi wakisema ugaidi wanamaanisha ni Uislamu

    Ni kwasababu hawaui kwa jina la Mungu ila kwa chuki zao. Wengi wao sio wakristo kwa taarifa yako.
  9. kitali

    JamiiForums Tanzania Tafakuri

    Huo wema ni upi
  10. kitali

    JamiiForums Tanzania Tafakuri

    Tatizo lako ni kufikiri kuwa mtu anapozaliwa ndio mwanzo wake. Hizi roho zilikuwepo kabla ya huu ulimwengu mzee na hicho ulicho ndio sehemu ya ule wema au ubaya wako na ikitokea umevuka mpaka ukaenda kwingine au kuzaliwa kwingine lazima utaonyeshwa ukweli na utarud vivyo hivyo kwa ile roho...
  11. kitali

    JamiiForums Tanzania Samia: Nimeongea na Rais Ruto, wale watoto wetu watovu wa adabu, wakija kwako chapa mikwaju, wakija kwangu nachapa mikwaju

    Hakunaga usalama popote dunian pale nchi hiyo ikihakikishiwa maslah yake na upande wa pili mkuu.
  12. kitali

    JamiiForums Tanzania Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Japan ipi maisha chini mkuu?
Back
Top Bottom