Nimekuuliza huu mjadala umeanzia kwa Emily oiso na watu wakazungumzia ameokoka ndio mjadala ulipoanzia. Sasa nakushangaa unavyopanic mzee. Nimekuambia tena huhitaji hisia kuelezea unachoamin. Coz kila mtu yupo sahihi kwa kile anachoamin. Muislam anamuona mkristo kapotea, mbudha anamuona Shinto...
Umeongea kiingereza Kiswahili nk cjaelewa point yako. Hoja imeanzia kwenye biblia ndio maana inajibiwa kibaibo. Ninachosema ufahamu wako sio tiketi ya mimi kukufuata. So moja ya sababu ya dunia kuwa na aman ni kule kuamin kila mtu yupo sahihi kwenye lile analoona linafaa kwake. Kunilazimisha...
Kuna watu wana utani na Mungu bro. Mtu anawaibia watu na kuwadhulumu kisha anaokoka halafu anatoa michango mikubwa kanisan wakati aliyemdhulum kila siku anamkumbusha Mungu alivyoonewa. Watu waache usanii
Bro kwanza naomba ufute hiyo kauli ya kuita Biblia ina story za kijinga. Mi ni mtu mzima so siendeshwi na hisia ninao uwezo wa kuamua hatima yangu sihtaji unifikirie kwa niaba yangu. Shida unaifikiria Biblia uliyoletewa na Mzungu umesahau biblical iko hapo Ethiopia kabla hata uzungun so relax...
Aliokoka wapi unajua hata lile jengo lilipo pale mbezi walikubaliana na mkenya kujenga akaja kumdhulumu akiwa amekoka. Zile ni sanaa. Nenda kwa kakobe waulize alichowafanyia akiwa ameokoka.
Bro humjui huyo mzee. Nenda mahakama ya ardhi pale kinondon ulizia ana kesi ngapi za kudhulumu ardhi. Pale mbezi kamdhulumu mama mmoja mjane mpaka amekufa juz juz hajapata haki yake. Ninachosema umeokoka tangaza kama kuna mtu nimemdhulumu au kumuibia aje nimrudishie chake Mzee. hakuna Mungu...
Miaka ya 99 huko nilikuwa na Deal na mbao. Sasa nawashushia sijui dereva wangu akamlegezea mama akachapa, cjui ule mchezomzee walipanga na mama. akajifanya amemfumania dereva. akaacha gar akakimbia. Mzee anajifanya ametaifisha gar na mbao, mi wakati huo nipo iringa huko. Nakumbuka tu...
Mnakosea sana. Hamjui biblia. Nenda kasome baada ya daudi kushika madaraka nchi ikawa bado haibarikiwi na David alipouliza alijibiwa nini na nabii? Waliambiwa utawala uliopita wa sauli uliua wana wa Gibeon so waende wakawaulize hao wana wa Gibeon kifanyike nini ili wasamehe na nchi itakasike...
Mungu njia zake huwez kuzichunguza wewe mjomba. We utaongea kile unachofikiria sio achopanga Mungu. Hiv ukiwa huna chakula nyumban halafu ghafla sana ukakutana na mshikaji wako wa Zaman kwenye kupiga story akakupa mchongo wa hela wa kwanza kumshukuru ni Mungu au mshikaji. Kumbuka Mungu anafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.