Recent content by kitali

  1. kitali

    JamiiForums Tanzania Mambo ya ndagu nimeamini hakuna ukweli

    ucje ukajaribu plz. utajutia maisha yako yote.
  2. kitali

    JamiiForums Tanzania Lema ana malengo gani na CHADEMA? Matendo yake yanatia wasiwasi

    nani anakutia wasi wasi hapo kati ya Lema na anaewasiliana na mkuu wa wasiojulikana
  3. kitali

    JamiiForums Tanzania Lema ajitetea amuangushia jumba bovu Makamu mwenyekiti

    Lema yupo sahihi sana Sema kuna ujinga flan chadema wanao. Wanataka kuendesha chama kwa mani ya mitandaoni
  4. kitali

    JamiiForums Tanzania Huyu baharia wa "SAUZI" akitumika vizuri na Polisi/Uhamiaji, anaweza kuwa Balozi wa maana sana katika kupambana na janga la vijana kuvuka mipaka.

    bro maisha hayana formula watu ile nia ya kutoka nje ni kutafuta mwanga waache waende sio.wote.wata win na sio wote watafeli
  5. kitali

    JamiiForums Tanzania Huyu baharia wa "SAUZI" akitumika vizuri na Polisi/Uhamiaji, anaweza kuwa Balozi wa maana sana katika kupambana na janga la vijana kuvuka mipaka.

    waacheni watu watoke mzee. Kutoka sio sawa na kukaa sehem moja
  6. kitali

    JamiiForums Tanzania Hofu ya kifo inatoka wapi ikiwa mbinguni, peponi kupo kweli na sio story tu?

    kinachowatisha watu ni dhambi walizo nazo.
  7. kitali

    JamiiForums Tanzania Natengeneza madhabahu kwenye biashara, kazini, na kwenye famila kwa ajili ya kukabiliana na upinzani wa kiroho

    ndio kabisa cmwamin ukianza kuzungumzia madhabahu na ukaweka simu tayar mzee unakaribisha mazingira. waambie watu waache dhambi wapendane baraka zitawajia Mungu hahitaji mambo mwngi ni stori za kupiga watu.hela tu mnaleta.
  8. kitali

    JamiiForums Tanzania Natengeneza madhabahu kwenye biashara, kazini, na kwenye famila kwa ajili ya kukabiliana na upinzani wa kiroho

    kanuni za utajir hata kwenye Biblia ziko waz. Biblia inasema ukifanya hiv nahiv.utabarikiwa na ukifanya.hiv na hiv utalaaniwa. mengine yeyote ni utapeli tu wa kiimani
  9. kitali

    JamiiForums Tanzania Natengeneza madhabahu kwenye biashara, kazini, na kwenye famila kwa ajili ya kukabiliana na upinzani wa kiroho

    hicho unachosema ni watu unataka kuwaibia
  10. kitali

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kutoka Trump kwenda kwa Putin na Zelensky kutaka vita viishe. Urusi ingekua inazidiwa wangeenda Moscow?

    aisee kichwa chako ni kidogo.sana
  11. kitali

    JamiiForums Tanzania Wapi chuo cha teolojia cha walokole

    we bure kabisa. ushajiuliza kwnini Mungu alimchagua msomi Paulo kupeleka injili kwa mataifa akawaacha Petro ndani au kwanini Paulo alikuwa anasisitiza kwa akina Timotheo kuwa wawafundishe wengine. hata hiyo theolojia umejuaje kuwa hao walioanzisha hawakuongozwa na Roho Mtakatifu
  12. kitali

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wachaga wanapenda kuuliza hili swali?

    sio kweli hiyo ni memtality tu inakusumbua. una chaggafobia pole mkuu. huu ugonjwa tunao waafrika karibu wote maana chochote afanyacho mzungu tunaona ni ubaguz kwasababu ni waafrika. jiamin mkuu hutaish kwa kukariri madhaifu ya watu maana hata wewe kuna wanaokuvumilia tu sema hawasemi.
  13. kitali

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wachaga wanapenda kuuliza hili swali?

    swali very teckiniki bro. kila kabila lina tabia yake. so ukiulizwa mtu anataka kujua huyu kwa asili tabia hii. anakuepuka kukukwaza. wapo sahihi kabisa. sio unaoa mzaramo halafu unakwazika akienda ngomani.
Back
Top Bottom