ndio kabisa cmwamin
ukianza kuzungumzia madhabahu na ukaweka simu tayar mzee unakaribisha mazingira. waambie watu waache dhambi wapendane baraka zitawajia Mungu hahitaji mambo mwngi ni stori za kupiga watu.hela tu mnaleta.
kanuni za utajir hata kwenye Biblia ziko waz. Biblia inasema ukifanya hiv nahiv.utabarikiwa na ukifanya.hiv na hiv utalaaniwa. mengine yeyote ni utapeli tu wa kiimani
we bure kabisa. ushajiuliza kwnini Mungu alimchagua msomi Paulo kupeleka injili kwa mataifa akawaacha Petro ndani au kwanini Paulo alikuwa anasisitiza kwa akina Timotheo kuwa wawafundishe wengine. hata hiyo theolojia umejuaje kuwa hao walioanzisha hawakuongozwa na Roho Mtakatifu
sio kweli hiyo ni memtality tu inakusumbua. una chaggafobia pole mkuu. huu ugonjwa tunao waafrika karibu wote maana chochote afanyacho mzungu tunaona ni ubaguz kwasababu ni waafrika. jiamin mkuu hutaish kwa kukariri madhaifu ya watu maana hata wewe kuna wanaokuvumilia tu sema hawasemi.
swali very teckiniki bro. kila kabila lina tabia yake. so ukiulizwa mtu anataka kujua huyu kwa asili tabia hii. anakuepuka kukukwaza. wapo sahihi kabisa. sio unaoa mzaramo halafu unakwazika akienda ngomani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.