Huyo JK hamnazo kabisa hata kama anajilinda au anamlinda mkwe alipaswa kuongea vitu vya uhalisia, sio porojo zinazopingana na sheria za nchi.
Ni shidaaaaa kua na raisi wa namna hii
Cha ajabu Pindi anaruhusu sukari iingia bila kulipiwa kodi, ila kwenye dawa lazima walipe kwa sababu hafaidiki yeye binafsi. Hawa ndio viongozi wa ccm tilionao
Magufuli ndio mzinzi namba moja na kuhonga nyumba za serikali, kuna dada mmoja geologist alimpa nyumba ya serikali maeneo ya ubungo, kwa sasa kamjengea mbweni nyumba ya kifahari😳CCM hakuna mtu msafi hata mmoja
Ulisema 1.6 BL kutoka kwa James ilikua mchango kwa shule yako, mbona mbona siku ya tukio ulisema ni milioni 200? Jisafishe kabla hatujakuflash😳
Mzee Rugemalira atoa Sh200 milioni kwenye mahafali ya Kajumulo Girls High School ~ wavuti
Dawa hizo ni donations kutoka kwa wafadhili, serikali inataka zilipiwe kodi, MSD hawana hela za kulipia ushuru. Hapo ndio utaona serikali hii imechoka unapewa msaada tena wa dawa TRA wanasema zilipiwe kodi wakati wafanyabuashara wa migodi mnawapa msamaha wa kulipa kodi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.