Leo nasikia kuna range sijui zimekutwa kwani huko bandarini huyu mkurungenzi mpya kashatumbuliwa kwa kuto timiza wajibu wake?? Kama hajatumbuliwa kuna ukweli wowote kwenye hio utamataji?? Pili hivi hakuna waziri husika mpaka mmchoshe mzee?? Why bandari kila siku ndo kunashitukizwa watendaji wapo...
Hivi hakuna mkurungenzi huko bandarini??? Kama yupo kasha tumbuliwa?? Kama bado huu mchezo ni kweli?? Kama ni kweli why mmanchosha raisi hakuna waziri husika mapaka raisi!
Wewe ni mwiga namba moja kama kutamka anaye susiwa habari huwezi unaweza kujenga hoja gani?? Mwoga ila kukujibu ni haki yao kikatiba na ina matokeo chanya sana kwao na future ya media tz ila acha woga sema kususia habari za makonda fulani hiyo vepeee
Siasa ni ipi?? Wamechanganya na chama gani cha siasa. Kuna watu najiuliza walizaliwa saangapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawawezi kufikiria hata kwa dakika moja tu
Nonsense huu ni kukosa akili kwani kule centra wakina TID wali hojiwa na marafiki zao??? Huu ni ujingwa wa mwaka kama ni jerry muro aki tadhimini hafau kuwa hata msemaji wa yanga
Ni wasiku nyingi sanaaa kabla hata bashite hajaanza huyu jamaa ana ma ma billion ya hela bila ulizi nia hatari wanaweza ku mteka kwa kutaka hela ni kawada hata papa ana alinzi zaidi ya hao
Wapinzani anzeni kujipanga katika ngazi ya kijiji maana huwa manafocus mijini tu, CCM wanaanza kuchukiana wenyewe kwa wenyewe wanatafutana uchawi anzeni kuamka sasa, hii ni fursa kwenu tatizo na nyie mnapingana huko huko lipumba anawapinga wapinzani umoja wenu ni muhimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.