Mbeya bana vichekesho sana!
Nina majirani wawili, mmoja ni mtu wa dini sana, na mwingine ni mtu misuli-misuli hivi, wakati wote macho mekundu!(wanamtuhumu eti ana mambo-mambo!)
Wote wawili ni wakulima, wamelima miwa na mahindi.
Huyu mtu wa dini kila siku analalamika kuibiwa mazao yake. Huyu...
Ukiwa ndani ya anga za askari, na unajua fika kwamba una kosa(lazima iwe hivyo) uwe mpole sana! Jitahidi kubembeleza(mara zote hawakubali), kubali maumivu, chukua tiketi yako, nenda. Ni wazi maumivu ni Makali sana, shs 30,000/= usawa huu siyo mchezo.
Vinginevyo utaishia lokap, na zikutoke...
Biashara ya mihogo hivi sasa ni ngumu sana. Siku hizi kuna mihogo-kisasa, inalimwa popote pale, haichagui hali ya hewa. Hivyo kwenye msimu wa mihogo huwa ni mingi mnoo!!
Wengi wanaicha inakomalia shambani! Kilimo cha mihogo wala hakihitaji mbolea!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.