Mshahara anaolipwa mtumishi package yake huwa haihusishi kusaidia wazazi,ndugu,michango ya harusi ,zawadi,nyumba ndogo nk.
Tutathmini matumizi yetu ,sina maana kuwa mengi ni ya anasa hapana tunazidiwa sana maana mengi huwa sio ya kwetu kama watumishi,matumizi mengi hutokana na mtu mmoja tu kiwa...
Kwa nilivyoelewa mimi ni kuwa mh rais amekuwa anasaini vibali vya wao kwenda nje,hilo halina shida ndio maana hajawahi wakatalia
Hofu yake ni kuwa ana taarifa kuwa wakiwa huko hufikia nyumba za wageni za kifahari na hilo sio tatizo pia,tatizo ni hao wanaowalipia hizo gharama
Hebu tujikite hapo...
Lengo la wengi sijalielewa ila kwa mawazo yangu katiba ni kitu kinachorekebishika nadhan ni vyema viongozi wakaliona hilo na kufanya mabadiliko chanya ili tusonge mbele bila kulaumiana,muungano ukivunjika wapo watakaoumia sana kuliko tunavyofikiri,nadhan pia sio busara kushabikia uvunjike ili...
Hatuwezi kutoka nje ya hapo,tukiweza kujenga umoja na majirani zetu mtaani ama ofisini ama hata ndani ya daladala! Ni rahisi kusogea
Ni ngumu kama hata kwako tu umeweka ukuta mrefu na mitambo ya kuzuia watu kuona kwako then ukahubiri umoja
Ni ngumu inapotokea nje ya nyumba yako hakuna jirani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.