Recent content by kiss cool

  1. K

    Anahitajika Mfanyakazi wa Stationery

    TANGAZO Anahitajika Mfanyakazi wa kike mchapakazi kwa ajili ya kazi za Stationery. Awe Mwaminifu na mdhamini mwenye makazi ya kudumu. Awe anajua Microsoft office(Ms Office , Ms Excel, PowerPoint, Ms Publisher) vizuri na Software angalau Moja ya Adobe. Awe anajua kupiga passport na kuprint...
  2. K

    Wajuzi bei za matrekta ya kilimo

    Nimepata elimu kiasi kI kubwa.Ila Naomba kujua umadhubuti wa Massey Ferguson MF 375 ya Pakistan. HP75. Mwenye uzoefu pls msaada. Nataka nitumie morogoro
  3. K

    Hitilafu Gridi ya Taifa: Waziri Kalemani aamuru Meneja Uendeshaji wa Kidatu kuondolewa kazini kwa uzembe

    UUelewa wako mdogo sana ndio maana una andika hhayo. UMEME una chama? Eleza sababu za kimantiki ujibiwe hoja.
  4. K

    Waraka wa Bashir Yakub: Tundu Lissu japo unaumwa lakini umeshindwa

    Ndg. Unashangaa nini. haikuwa mahakamani. Ilikuwa negotiation team . HUU NI USHINDI MTABIRI AMESHINDWA. UZURI HAKUJIBIWA. ALIOWASIFU NA KUWATABIRIA USHINDI WAMEMJIBU NA KUKATAA UTABIRI WAKE. ANGEKUWA MWANASHERIA MZURI WANGEMSIKILIZA. HAYA SASA MNABIDI WAFUASI MSIOJIULIZA SABABU YA UPENZI WENU...
  5. K

    Zitto: Amri ya Rais Magufuli kuhusu 'Mchanga wa Dhahabu' imepotezea nchi Tshs 1.8 Trilioni Capital Gains Tax

    Ndg haikuwa mahakamani. Ilikuwa negotiation team. Unashangaa nini. HUU NI USHINDI. BY THE WAY. MTABIRI AMESHINDWA. UZURI HAKUJIBIWA. ALIOWASIFU NA KUWATABIRIA USHINDI WAMEMJIBU NA KUKATAA UTABIRI WAKE. ANGEKUWA MWANASHERIA MZURI WANGEMSIKILIZA. HAYA SASA MNABIDI WAFUASI MSIOJIULIZA SABABU YA...
  6. K

    Zitto: Amri ya Rais Magufuli kuhusu 'Mchanga wa Dhahabu' imepotezea nchi Tshs 1.8 Trilioni Capital Gains Tax

    Ndg haikuwa mahakamani. Ilikuwa negotiation team. Unashangaa nini. HUU NI USHINDI. BY THE WAY. MTABIRI AMESHINDWA. UZURI HAKUJIBIWA. ALIOWASIFU NA KUWATABIRIA USHINDI WAMEMJIBU NA KUKATAA UTABIRI WAKE. ANGEKUWA MWANASHERIA MZURI WANGEMSIKILIZA. HAYA SASA MNABIDI WAFUASI MSIOJIULIZA SABABU YA...
  7. K

    Waraka wa Bashir Yakub: Tundu Lissu japo unaumwa lakini umeshindwa

    MTABIRI AMESHINDWA. UZURI HAKUJIBIWA. ALIOWASIFU NA KUWATABIRIA USHINDI WAMEMJIBU NA KUKATAA UTABIRI WAKE. ANGEKUWA MWANASHERIA MZURI WANGEMSIKILIZA. HAYA SASA MNABIDI WAFUASI MSIOJIULIZA SABABU YA UPENZI WENU KWAKE MCHANGANYE NA AKILI ZENU.
  8. K

    Zitto: Amri ya Rais Magufuli kuhusu 'Mchanga wa Dhahabu' imepotezea nchi Tshs 1.8 Trilioni Capital Gains Tax

    Nimeamini mtoa mada na baadhi ya wachangiaji wanachangia kwa mhemuko fulani hususani wa kisisa. Juhudi kubwa zimefanyika na wataalamu wa serikali kufikia hapo bado Mnabeza. Tumefanikiwa sana kwa taarifa ya leo hasa kubadili makubaliano kiasi ya mkataba. Pia fedha hizo bado ni nyingi Tumepewa...
  9. K

    Natafuta Mfanyakazi wa PHOTO STUDIO

    Sifa za kijana anayehitajika. 1. Awe mkazi wa eneo la Tabata, Kinyerezi, Kisukuru au maeneo ya karibu na Segerea Dar es Salaam 2. Awe mwaminifu na muadilifu wa kweli na sio kuigiza; na anayependa kazi yake 3. Awe na ujuzi wa kupiga picha na matumizi ya computer kwa fani hiyo. 4. Awe na...
  10. K

    Dkt. Mwaka aonyesha vyeti na vibali vyake

    Wanaomkubali ni waru wa ajabu sana. Kuonesha kibali cha matangazo sio tatizo. Suala ni kukiuka maadili ya tiba iwe riba za kiasili au la. Kama tiba yako ni nzuri wagonjwa watakuja wenyewe. You don't need to persuade them. If you so ni UTAPELI
  11. K

    Tazara: Wezi wapora gari kwa kutumia silaha

    mwizi hana huruma hata kwako mpita njia na pia hata escort ikiwepo wakijipanga wanatekeleza. Tusiwaunge mkono kamwe
  12. K

    Ufafanuzi: Safari za nje za ofisi ya CAG

    sunzu, malumbano ya nini jukwaani. Huu ni utovu wa nidhamu. kama una hoja ipeleke kwake kwa maandishi. Tafsiri ya majibu yako ni kuhaha tu huenda unahusika
  13. K

    Customer Care Airtel are Incompetent

    Nimefanya malipo toka 24.08. ya 800,000 mtandao wenu ukasumbua. Nikawapigia mkaahidi mtarejesha nimepiga mara kadhaa kila mhudumu ukimweleza tatizo anakuambia kata upige tena. Kumbuka kila ulipiga unakatwa hela taslimu na sio dakika za kujiunga. Tafadhali toeni taarifa rasmi na naangalie the...
Back
Top Bottom