Kumekua na migogoro ya ardhi nchini kwa muda mrefu na sababu ni serikali kushindwa kutenga na kupima ardhi ya watanzania na kuacha migogoro kuendelea miaka nenda miaka rudi.
Ingependeza sasa hizo chenji za kubana matumizi na hizo za amsha amsha bandarini zikaelekezwa eneo hili la kupima ardhi...
Mwanahalisi wanaikosaoa serikali kwa hoja za ukweli. C majungu. Sasa kama unataka nyeupe waiite nyekundu utuambie. Wao wataendelea kufanya kazi yao kama kawaida ilimradi hawavunji sheria za nchi. Kama huwapendi itabidi ujitundike. Kazi inaendelea na zaidi sasa kubea ndani ya mjengo ha ha ha...
Mh magufuli malizeni mgogoro wa zanzibar. Huu ubabe wa nini? Kulikua na haja gani kufanya uchaguzi kama matokeo hatuyataki?
Wafanyabiashara zanzibar wanashindwa kujiingiziza kazini kwa hofu ya vurugu inayo wezakupelekea upotevu wa mali zao. Fanyeni maamuzi magumu ikibidi kuondoa huu mkwamo.
Tumetangaziwa kesho kuwa ni siku ya mapumziko eti kwa kuwa rais mpya anaapishwa.
Maisha yetu haya ya tabu na shida. Binafsi nilikuwa na mgonjwa bugando ilikua afanyiwe oparation kesho sasa tumeambiwa kesho ni mapumziko ni watu wangapi watapoteza dili zao kwa tangazo hili. Au hata kupoteza...
Zile kauli za siku nyingi kwamba bara imeikalia zanzibar kimabavu zimedhihirika. Hawa watu wa tume wanapokea tu maelekezo toka kwa vigogo bara na kuyatekeleza jinsi yalivyo. Hawana nguvu yoyote na tume si huru. Tabu sana.
Tumesikitika kuanguka kwa wabunge kama kafulila aliyeibua mazito kuhusu escrow, tutakosa vionjo vya aina yake na staili ya kipekee ya uwasalishaji toka kwa mbunge wa muhambwe mkosa mali, lakini pia tutamkosa mbunge mahiri toka mwanza ezekiel wenje.
Sijui adhabu iliyotolewa na wananchi kwa hawa...
Baada ya uchaguzi kweli baadhi ya vyama vitadorora lkn chadema kitastawi zaidi kwa sababu ndicho chama kimevuna wanachama wengi zaidi msimu huu.kitakua na wabunge wengi na kitaimarika zaidi.umenipata hapo wa mihingo.
Afadhali umewaambia. Magufuli anakomaa nayo kwa kupotosha watu. Hatusemi hakuna kilichofanyika.tunasema kilichofanywa hakilingani na kile kilichostahili kufanywa.ee!! Hawa watu vp!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.