Wewe ndo ulikuwa unajite ngenezea kitambulisho au nida? Unakosaje mshahara kwa kitu ambacho hujapewa na anayestahili kukupa? Fikiria ndg kwa kina
Sent from my Vodafone 875 using JamiiForums mobile app
Mkuu nishauri na Mimi.Nina gari yangu Mazda primacy 2003 1880cc niliiagiza tangu 2013 na fuel consumption yake ilikuwa about 11 km per Lt.lakn mwanzoni mwa mwaka huu ilipata ajali ikakaa gereji miezi kama 6 na nimeitoa gereji mwezi wa sita mwishoni nimeona consumption ya fuel imekuwa about 7 km...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.