Habari zenu wanajamii,ningependa kuzungumzia kuhusu maneno hayo hapo juu, upendo ni uvumilivu,jamii yetu ya sasa imejaa mambo mengi yanayoikabili jamii kwa ujumla mambo mengi yanaongelewa kuhusu mahusiano,wake kutoka nje wanaume kuwa na nyumba ndogo na kutoridhishana kimapenzi,suala hilo kwa...