Nadhani inatakiwa kuwa declared kabla ya kupanda merge kwasababu thamani Yale ni kubwa. Kushindwa kufanya declaration kwasababu yoyote huku ukijua mzigo wako thamani Yale ni kubwa ni kosa.
Nadhani hiyo ndiyo dawn;
Nadhani hiyo ndiyo dawa hata mimi nilikuwa na tatizo kama hilo ila yeye alikuwa akisogeza mpaka mara kwa mara nikaamua kupandisha ukuta na tatizo likaisha.
Katika picha yako mkuu naona unaukuta nadhani hilo eneo korofi upandishe zaidi naamini tatizo litakwisha
wewe na familia yako ndo mgemkumbuka kwa kuwa mlikuwa mna talii pamoja huko nchi za nje.Anachofanya Magufuli ukawa mamelalamika sana bungeni lakini mbele yenu nyinyi CCM mlikuwa mnawabeza ili muendeleee kuhomola;
hapana huyo anatekeleza yale yaliyokuwa yanalalamikiwa na ukawa kwa miaka mingi; wanaokerwa ni CCM wenyewe kwasababu posho walizozoea kuchota sasa basi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.