huyu kijana sijawahigi kumwelewa kwanini anapenda kuwatetea mabepari
hao wamefunga biashara kwasababu zao binafisi lakini siyo mazingira magumu TZ
Hao walizoea vya bure kukwepa kodi na kutolipa ushuru waende tu sisi wenyewe tumewachoka
hata hujaeleweka tatizo lako ni nini?
Kuipigia kura CCM na hiyo video vina husiana nini mwisho wa siku kura ni siri ya mtu
Na kila mtu anamchagua amtakaye
Sasa angetua na airbus palepale sijui ingekuwaje,ila raha sana safi sana mhe Rais wetu magufuli unakubalika kote na watasema sana ila wao wataonekana wanafki.
Huo ni udhaifu wa nyie nyie waalimu kupenda shortcut
unaanzaje kutoa laki 700,000 mi hata buku sikupi
na hizo pesa mnampa nani halmasauri au Tamisemi
hao watu si mnawajua watajeni wachukuliwa hatua lah si hivyo mtakua ni watu wa kupigwa kila leo
poleni lakin
Hawa ndio CHADEMA wanafki kinoma huyu mbowe siyo wa kumwambia hivyo mzee LOWASA,kwanin walimkubalia agombee kupitia chama chake
hizo ndio zinaitwa sizitaki mbichi hizi
Umeongea vizuri sana,wapinzani walishadharau kazi za ulinzi na usalama wa Tanzania,walisema kwa kinywa chao kwamba hawaamini upelelezi wa Tanzania.Sasa wanataka rais aongee nini wakati wao walishajitenga kitambo au hawayakumbuki maneno yao.Wanadhani rais hayaoni hayo?anaamua kunyamaza kwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.