Kwanini CCM haina viongozi wenye maadili ya uongozi

Kwanini CCM haina viongozi wenye maadili ya uongozi

kurlzawa

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2018
Posts
16,694
Reaction score
20,656
Wakuu habari za mda huu .
Natumaini nyote ni wazima wa afya kuna kitu nmekifikiri sana baada ya kuona viongozi wengi wa CCM kuonekana hawana maadali ya uongozi zaidi ya kuwa waropokaji tu zifuatazo ni sababu za hayo matatizo

1.CCM HIANA MFUMO WA KUANDAA VIONGOZI- hili nimeliona Sana tu unakuta kiongozi mfano mkuu wa mkoa mkuu wa wilaya au spika anaropoka tu wakati ukija kichunguza unagundua wengi wao walikuwa scouts tu wale wanaolinda mbio za MWENGE wamekuwa affected Kwa Moshi wa mwenge na bange ndyo maana tunapata viongozi waropokaji Sana

2. UONGOZI WA KURITHI - kitu kingne kinachopelekea kukosa viongozi makini na wenye weledi ni watoto wa wakubwa kuchomekwa chomekwa tu wenye uongozi ili waweze kuendesha maisha yao unakuta mtu anaongea ujinga tu kama amekatwa kichwa kumbe kawekwa tu kwenye position na mjomba wake au ndugu yake yeyote.

Naomba kuwasilisha hoja wakuu hizo ndyo sababu kuu zinazopelekea tuampata watu kama kina bashite katika nchi yetu na wengine kina Jane muuuuro .

Note: nawashauri sana wanaCCM waandae mfumo wa kupata viongozi sio kuwachomeka scouts walitoka kukimbiza mwenge ambao most of them kichwani ni weupe hata kama wameenda shule.
 
mkuu ccm viongozi wapo mbona sema uwajibikaji ni tatizo kwa watanzania wala si ccm pekee.
 
Hivi Yule kada Beno Malisa yupo wapi siku hizi? yule angeweza kutupa mfano wa hiki ulichokiandika
 
Wew unaona Tanzania chama gani chenye viongozi wenye maadili??
 
Mbowe ana kashfa nyingi na wabunge wa viti maalum na Wema Sepetu, hayo ndio maadili?
 
Usipanic au wewe ndiye RC wa Dar?
Acha kupoteza muda TZ hamna upinzani..wte mnanunulika kwa bei rahisi,ACT si ndo hiyo kulikuwa na kiongozi wa chama nae akaenda kutumikia serikali iliyopo madarakani ya CCM..upande wa pili naona mgombea wetu wa uraisi kasharudi alipotoka,upande wa tatu mpinzani katoka upinzani kaenda upinzani..style hii unawaza kuja kuitoa CCM
 
Wakuu habari za mda huu .
Natumaini nyote ni wazima wa afya kuna kitu nmekifikiri sana baada ya kuona viongozi wengi wa CCM kuonekana hawana maadali ya uongozi zaidi ya kuwa waropokaji tu zifuatazo ni sababu za hayo matatizo

1.CCM HIANA MFUMO WA KUANDAA VIONGOZI- hili nimeliona Sana tu unakuta kiongozi mfano mkuu wa mkoa mkuu wa wilaya au spika anaropoka tu wakati ukija kichunguza unagundua wengi wao walikuwa scouts tu wale wanaolinda mbio za MWENGE wamekuwa affected Kwa Moshi wa mwenge na bange ndyo maana tunapata viongozi waropokaji Sana

2. UONGOZI WA KURITHI - kitu kingne kinachopelekea kukosa viongozi makini na wenye weledi ni watoto wa wakubwa kuchomekwa chomekwa tu wenye uongozi ili waweze kuendesha maisha yao unakuta mtu anaongea ujinga tu kama amekatwa kichwa kumbe kawekwa tu kwenye position na mjomba wake au ndugu yake yeyote.

Naomba kuwasilisha hoja wakuu hizo ndyo sababu kuu zinazopelekea tuampata watu kama kina bashite katika nchi yetu na wengine kina Jane muuuuro .

Note: nawashauri sana wanaCCM waandae mfumo wa kupata viongozi sio kuwachomeka scouts walitoka kukimbiza mwenge ambao most of them kichwani ni weupe hata kama wameenda shule.
"Samahani Baba Askofu tunaomba utusamehe, CCM yetu hatuna mfumo wa kuandaa viongozi" By Dr Bashiru - Katibu Mkuu CCM
 
Baba akikosa maadili watoto watakuwa vipi Na maadili,
 
Viongozi wenyewe wanapatikana kwa kusukumizwa ,sasa maadili yake watayajua SAA ngapi ?
 
Back
Top Bottom