Recent content by KISHOKO

  1. K

    JamiiForums Tanzania Wasiojua Kiswahili watashindwa

    Nje Ya Nchi,kuwa Nchi Ambayo Wewe Siyo Raia Wake Na Labda Umeenda Kwa Majukumu Ya Kikazi Ama Makusudi Maalum(out Of Your Country) Nchi Za Nje Ni Mataifa Mbalimbali Zaidi Ya Moja,nje Ya Nchi Yako Mahalia yaweza Kuwa "Foreign States"(marekebisho Kwenye Maneno Ya Kiingereza).
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kenya, Nigeria zagoma kuiazima Tanzania BVR

    Dah! Kwani Hapa Hakuna Hata Mtalaamu 1 Ambaye Aweza Lifanya Hilo? Labda Kwa Kuwa Hakuhusika Kumfanyia Matibabu. Je,ziara Zile Nyingine Nyingi Kuliko Rais Yeyote Duniani Huwa Ni Za Matibabu? Na Amezidi Nini Mugabe Ambaye Haendi Ulaya Na Marekani? Ni Kitu Gani Mtanzania Amenufaika Nacho Kutokana...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kenya, Nigeria zagoma kuiazima Tanzania BVR

    Hatareee! Akili Gani Hii Jamani? Viongozi Hawahawa,ndiyo Wanapita Tena Majimboni Ili Tuwape Wakati Mwingine Wa Kuongoza Kwa Maisha Yepi? Kama Walikuwa Na Mradi Huu Mhe.Rais Angepunguza Ziara Zisizo Na Tija Ili Watimize Azma Yao,na Kwa Kuwa Wao Ndio Wanadhani Wana Akili Sana Kuliko Watanzania...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Kadhi faida na hasara zake, toka kwa msomi wa makahama za kadhi

    Ahsante Kwa Elimu Hiyo Mtoa Hoja,swali: Mpaka Sasa Mambo Tajwa Hapo Kwenye Post Yanaamriwaje?
  5. K

    JamiiForums Tanzania Tume ya uchaguzi kusitisha uandikishaji kwa BVR

    Hivi Nchi Hii Haina Kiongozi? Kiongozi Ambaye Anajasikiliza Watu Wengine Inapotokea Akapewa Ushauri Hata Kama Ni Ya Maana Kiasi Gani? Tcd, Jukata,wanaharakati Mbalimbali Na Ukiachilia Mbali Ukawa Wote Wameshauri Juu Ya Jambo Hili,cha Ajabu Ni Kuonekana Kuwa Wote Hao Hawana Akili Timamu Na Ni...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Ajali mkoa wa Dodoma ikihusisha basi la Osaka na lori

    Hapa Hakuna Mwenye Nchi Au?
  7. K

    JamiiForums Tanzania Nape, Mwakyembe ujumbe wenu kutoka kwa Kakobe!

    Duh! Huyu Jamaaa Wamemfanya Nini Mpaka Anawafungukia Hiki?
  8. K

    JamiiForums Tanzania Top 10 Best secondary schools of all time in Tanzania

    Bro. You Hit The Nail On The Head.
  9. K

    JamiiForums Tanzania NCCR-Mageuzi Jijengeni Kanda ya Ziwa. Nimedhamiria kuiua CHADEMA Kanda ya Ziwa

    Kwa Hiyo Umeambiwa Na Watu Wa Kanda Ya Ziwa Ww Si Bepari Na Ukaiue Cdm Ili Uwe Rais Wao Au?
  10. K

    JamiiForums Tanzania NCCR-Mageuzi Jijengeni Kanda ya Ziwa. Nimedhamiria kuiua CHADEMA Kanda ya Ziwa

    Haaaaaaa! Kwa Kutumia Njia Gani Kwa Mfano? Kanda Ya Ziwa Tatizo Ni Chadema Au? Toa Maelezo,yawezekana Una Hoja Za Msingi Ila Tu Hujaeleweka Vizuri. Kumbuka Pia Kanda Ya Ziwa Ndo Moto Wa Chadema Umeanza Kuwaka Na Muda Si Mrefu Ccm Watakuwa Wakisikia Magazetini Na Redioni Kuwa Walishawahi Kuongoza...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Vigezo gani hutumika kutoa star kwenye mahotel makubwa?

    Wizara Gani Inayothibitisha Vigezo Hivyo?
Back
Top Bottom