Waingie Poland kwa usafiri gani.
Hivi ukimwambia mtu aliyeko mtwara aingie Kenya bila msaada wa kumuwezesha kufika Namanga again ataingia kweli Kenya?
Watawezaje kufika huko na watakuwa wanakula nini?
Bila shaka wewe ni msukuma.
Hamna pa kutokea hata mseme nini.
Mlitamba sana kipindi cha utawala wa msukuma mwenzenu uliotukuka kwa ubaguzi wa kikabila na ukanda.Tulieni dawa iwaingie.Wasiomkubali mama ni ninyi peke yenu,sisi wengine tunamkubali sana.Usiwataje chadema maana hao ni mavuvuzela...
Wewe ni mwongo sana.
Kwa ngulelo stendi hakuna maduka wala hakuna wamachinga walioweka biashara zao mbele ya maduka ya watu.Ngulelo gani wewe unayoisemea?
Acha upumbavu.
Mimi sishabikii chama chochote cha siasa kwa sababu hakuna hata kimoja kinachonisaidia chochote kwenye maisha yangu.Wote wanapigania matumbo yao tu.
Kama hiyo chadema yako inakuletea unga ndani endelea kuwapigia debe.
Jibuni hoja kwa hoja na si kuweweseka kumkamata Josepht.
Wakati wa Magufuli ni nyie hao hao mlokuwa mstari wa mbele kuungana naye kupinga chanjo.Wewe waziri wa afya ulionyesha mifano mingi na kusisitiza matumizi malimao,vitunguu,pilipili na takata nyingine nyingi,pamoja na kupiga nyungu kuwa ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.