Recent content by Kishimbe wa Kishimbe

  1. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Kabudi: Mungu akishawapa kiongozi, mumpende mumheshimu, hakujileta mwenyewe

    Sijawahi kuona 'Mwalimu wa nidhamu' akaongelewa vizuri na wanafunzi! 😅
  2. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Naishauri TEC kulitazama upya Jimbo Katoliki la Kondoa kwa jicho la tatu.

    RC mnatakiwa kubana matumizi, yaani idadi ya watumishi wa kiroho iendane na uwezo halisi wa wahudumiwa, vinginevyo mnajiundia 'TIME BOMB'!
  3. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Hatukuwa tofauti sana na Singapore; kwanini Nyerere aliamua kujirundikia madaraka ya Urais ikawa kama ufalme?

    ... tatizo la watu wote wanaopita vikwazo vyote vya mitihani ya shule kirahisi na kwenda chuo kikuu DIRECT!
  4. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Yericko Nyerere alia na unafiki wa Prof. Anna Tibaijuka

    YERICKO NYERERE ALIA NA UNAFIKI WA PROF. ANNA TIBAIJUKA. HII NI COPY AND PASTE WADAU, ... NINAWASILISHA! Yericko Nyerere kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika: · Nchi hii unafiki ni asili ya Mtanzania na pengine ngozi yeusi yote duniani unafiki hautaisha kamwe, Fikiria Prof Anna...
  5. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Pombe ni dhambi, acha kuitumia

    Pombe ni nzuri kama mnywaji hakuhusu! ... maana inapunguza COMPETITION!
  6. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Mzee Butiku: Upinzani usimame kwenye heshima, Tumuamini Rais

    Sikumbuki mwalimu wa nidhamu aliyesema kitu wanafunzi wasibeze! ... sasa wamempa na jina: BUTI KUU! 😅
  7. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Mlitudanganya wadada wembamba warefu wana papuchi kubwa.

    Natumaini umeishachagua wa kubaki nae!
  8. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Je Mzee Butiku anastahili heshima?

    ..............
  9. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Mdogo wangu Eeh! Kuoa mwanamke ambaye familia yake imekuzidi kila kitu ni mtihani sana. Usithubutu!

    Tatizo linakua kubwa zaidi wewe unapojikabidhi kwa familia ya mkeo! JITEGEMEE!
  10. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Dudu Baya anapendwa sana na watu hapa Bongo?

    Hawakubali kuvuruga 'BUDGET' zao kizembezembe!
  11. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Dudu Baya anapendwa sana na watu hapa Bongo?

    MAMBA 24/7, YOU BETTER WATCH YOUR BACK!
  12. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    Shida ni dini moja kubwa kutaka, waziwazi, kuitumia CHADEMA kama jukwaa la kuishinikiza serikali kukidhi matakwa yao!
  13. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Mahari ni lazima, usidanganyike binti

    ..............
  14. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Dini ilivumbuliwa pale tapeli wa kwanza alipokutana na mjinga wa kwanza

    ... na Serikali ikafuata pale mbabe wa kwanza alipopata wa kumuonea wa kwanza!
Back
Top Bottom