LONG LIVE TANZANIA!
NB: ... Bongozozo na wenzako muwe na kiasi, hebu jiwekeni kwenye viatu vya mnaowashambulia kwa makosa yaliyofanywa na watanzania wote kwa kufanya majaribio kwenye mambo ambayo hawakuyazoea!
Bongozozo, REPEAT, Bongozozo please return the flocks back home, for you can set a...
... sisi wengine hatuna kadi ya chama chochote ila tunaipenda Tanzania yetu!
DEMOKRASIA ZINAZOKIPA KIKUNDI KIDOGO UHURU WA KUCHAFUA AMANI YA NCHI ZIKAFIE MBALI!
... NA SIASA ZA KUANGALIA MAMBO KIBAGUZIBAGUZI HAZINA MWISHO MWEMA! JAMBO BAYA LICHIKULIWE KAMA BAYA 'UNIVERSALLY' NA SIO LIKIFANYWA...
Ukweli hubaki ukweli hata kama hauupendi kiasi gani! ... anayeweza kulaumu walinzi wetu ni ADUI WA TANZANIA!
ENDELEENI KUPIGANA NA HILO JABARI!
NB: Unapofanya vurugu zenye nia ya kuua wenzio wasio na hatia unatarajia ulipwe nini?
... 'ata wakati wa kuvua hiyo condom hakikisha kwanza unaosha dude na condom yake kwa DETTOL MEDICATED SOAP kabla ya kuivua, VINGINEVYO USIJEISINGIZIA CONDOM KUVUJA! 😅
... afadhali hata wewe, ... Mimi nimehudumia demu long time kinoma, gharama zaidi ya M1, na muda wote ananipiga chenga za danadana, ... sasa siku ananipa nikakutana na uvundo wa panya mfu SI NDO NIKAISHIA KIMOJA NA KUJIDHARAU!!!
ANYWAY SIKOMI! 😅
... HAKUNA KIJANA ANALAZIMISHWA KWENDA JKT BALI JKT INATOA FURSA KWA VIJANA KUHUDUMIA KWA MUDA MFUPI UNAOTOLEWA!
... MTOTO WAKO AKIWA ANAJITAMBUA NA KUJISIMAMIA HAKUNA ATAKAYEMTENDEA KINYUME NA SHERIA!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.