Recent content by Kishimbe wa Kishimbe

  1. Kishimbe wa Kishimbe

    Tuomba mamlaka zitoke ziseme Polepole yuko wapi ? Acheni Utani kwenye Uhai wa watu

    Unapofanya siasa za kufa na kupona fanya hadharani ili unapokamatwa watu wawe na ushahidi! HATUKUJUA POLEPOLE YUKO WAPI MUDA WOTE ALIPOKUWA ANASHUSHA 'KIPONDO' NA KWAHIYO NI VIGUMU PIA KUWA NA UHAKIKA SASA YUPO WAPI!
  2. Kishimbe wa Kishimbe

    Vita ya Urais 2030, itawatoa roho Mwigulu Nchemba na Emmanuel Nchimbi

    CHINAMAKOCHA? .... njomba apo umenikumbucha mbali chana!
  3. Kishimbe wa Kishimbe

    Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

    ... wachomoaji halisi wamejulikana na si individual ila ni taasisi kubwa ambayo imekuwa ikijaribu ku'smear' watu ili kulipua mambo, ... being closely watched!
  4. Kishimbe wa Kishimbe

    Marekani yajiondoa rasmi uanachama kwenye shirika la Afya Duniani (WHO)

    We're gonna have the fittest humans in most countries, because, at least now, natural selection will be allowed to do it's work!
  5. Kishimbe wa Kishimbe

    Is God Real?

    Didn't Jesus come for the like?
  6. Kishimbe wa Kishimbe

    Is God Real?

    You can't push a car to move while within the car like you can't prove to an atheist the existence of God using the bible!
  7. Kishimbe wa Kishimbe

    Is God Real?

    Human sciences still require to reach the level where they can be able to answer those questions without having to rely on pure faith!
  8. Kishimbe wa Kishimbe

    Is God Real?

    I've corrected what you quoted! 😅 God is the creator of everything, real or unreal, omnipotent, omnipresent, omniscient ... as God have always been described by prophets of many monotheistic faiths!
  9. Kishimbe wa Kishimbe

    Is God Real?

    God is very real! NB: If our sciences can not prove the existence God then humanity is required to reach a level where human sciences can prove the existence God!
  10. Kishimbe wa Kishimbe

    Waafrika waanza kumshtukia Kikwete kwa kutolaani mauaji.

    ... tangu aambiwe 'anawashwa nini?' amekuwa muoga mno kutoa matamshi kinzani na oungozi uliopo! 😅
  11. Kishimbe wa Kishimbe

    Jenista Mhagama alikuwa Waziri wa Afya wakati wa maandamano, kaondoka na siri gani?

    ... umewahi kutoa wazo kabla hajazikwa, tunaomba mwili ufanyiwe uchunguzi na historia ya marehem ya afya pia ijulikane! Kama kukitokea sintofahamu basi movement zake na kutanakutana yake na watu siku za karibuni zifatiliwe!
Back
Top Bottom