Recent content by Kishimbe wa Kishimbe

  1. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Mwigulu hapenyi 2030 — Kuna nini kinawatisha?

    CCM isirudie iliyomfanyia Lowassa kwa Mwigulu Mchemba, ITAJUTA!
  2. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Kwanini waislamu wote wanawaita waKristo makafiri??

    Hata wewe kumuita 'YESU' JESUS umejitengenezea!
  3. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Kwanini waislamu wote wanawaita waKristo makafiri??

    Kwa waislamu mungu ni mmoja kikwelikweli, yaani nje ya hapo ni kufuru na kila akufuruye ni kafir! NB: Wakristo pia wanaruhusiwa kuwaita wanaokufuru imani yao makafir! UKAFIR SIO TUSI NI SIFA!
  4. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Miaka 2 tangu kutekwa na kuuawa Mzee Ali Kibao, mpaka leo hakuna taarifa ya nani alihusika!

    Kuna kikundi cha watu chenye kiu sana ya madaraka kimeanzisha na kinaendeleza mtafaruku huu ili mwishowe serikali ya wabaya wao ndani ya CCM ishindwe! ... NA NDIO WALALAMIKAJI WAKUU!
  5. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Mussa Ismail Bad anayehusanishwa na Emmanuel Nchimbi atekwa

    CHOCHEA!
  6. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Mbowe kamaliza siasa kama Ryatonga Mrema

    Siku nikiamua kurudi TUTAFUTANE🥰! https://youtu.be/bwlQ0qJxaGo?si=XLhOwfHN2xSov2r7
  7. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Mbowe kamaliza siasa kama Ryatonga Mrema

    Usinifananishe na vitu vya ajabu! ... nimeamua tu kula pozi kama kamanda wangu Mbowe! HEBU PIGENI KAZI WENZETU!
  8. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Rambirambi zigawanywe kwa Wajane wote kwa usawa

    Ataacha zote zitumike na wenzie, wanawake wa kiislam vipusa bwana! Sio bara kwenu watu wakianua tanga wakwe waanza kutimua wajane!
  9. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Rambirambi zigawanywe kwa Wajane wote kwa usawa

    Nani kakupa hilo jukumu? ... mswahili bwana!!?
  10. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Hili taifa ni zito sana aisee, kutoka kuwa na ndoto za kuwa rais hadi kugeuka kuwa mtalaam wa nyota jukwaani 😁

    Kila masika inapoanza kumbikumbi huruka kwa wingi sana! Kumbikumbi hao wote ni majike na madume ambao wanatarajia kuungana wawiliwawili na kuanzisha vichuguu vipya, lakini kwa bahati mbaya sana ni asilimia ndogo sana wanaofanikiwa kuunda vichuguu! Wengi huliwa na ndege, mbweha na wanyama wengine...
  11. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Uaminifu wa Wachaga kwenye upinzani unashuka, viongozi wachache wanaponza kabila zima kuonekana kujali maslahi tu, hawana msimamo wala uzalendo.

    Mchaga ataendelea kuwa jiwe la msingi wa siasa za upinzani Bongo! ... wengine wataingia na kutoka!
  12. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiye Freeman Mbowe. Hapendwi mtu ila pesa kwanza. Anamchukia TAL kuliko ambavyo angemchukia SSH aliyemtia gerezani miezi 8+ bila kosa!!

    Why all the noise if CHADEMA can do without him? 24/7 .................................. !
  13. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Mbowe kamaliza siasa kama Ryatonga Mrema

    Hizo aibu unamuonea wewe? ... msalaba wa matusi, kashfa na uzushi wote wakati wa uchaguzi ndani ya chama ulimsaidia wewe kujitwisha? LET HIM PRACTICE HIS FREEDOM OF CHOICE OF WHAT TO DO AND WHEN!
  14. Kishimbe wa Kishimbe

    JamiiForums Tanzania Je, Huu Ni Mwisho wa Ushirika wa CHADEMA na Wanaharakati?

    🤔
Back
Top Bottom