Kwa waislamu mungu ni mmoja kikwelikweli, yaani nje ya hapo ni kufuru na kila akufuruye ni kafir!
NB: Wakristo pia wanaruhusiwa kuwaita wanaokufuru imani yao makafir! UKAFIR SIO TUSI NI SIFA!
Kuna kikundi cha watu chenye kiu sana ya madaraka kimeanzisha na kinaendeleza mtafaruku huu ili mwishowe serikali ya wabaya wao ndani ya CCM ishindwe!
... NA NDIO WALALAMIKAJI WAKUU!
Kila masika inapoanza kumbikumbi huruka kwa wingi sana! Kumbikumbi hao wote ni majike na madume ambao wanatarajia kuungana wawiliwawili na kuanzisha vichuguu vipya, lakini kwa bahati mbaya sana ni asilimia ndogo sana wanaofanikiwa kuunda vichuguu! Wengi huliwa na ndege, mbweha na wanyama wengine...
Hizo aibu unamuonea wewe? ... msalaba wa matusi, kashfa na uzushi wote wakati wa uchaguzi ndani ya chama ulimsaidia wewe kujitwisha?
LET HIM PRACTICE HIS FREEDOM OF CHOICE OF WHAT TO DO AND WHEN!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.