Recent content by Kishili Benjamin

  1. K

    Napenda sana wa sampuli hii,wewe je??

    lo! Sampuli hii wacha tu! Usingizi haziji....wapatikana wapi?kivipi?
  2. K

    Nilivyoteswa na Uchawi wa Sumbawanga!

    Oh!pole sana!ILA Mungu anao nguvu kuliko hao kina barnabas !ktk jina la YESU!amen
  3. K

    We mwanamke inakuwaje unatandikiwa kitanda?

    lo!ahsante ewe uliye jaaaaliwa na mola... Hebu waeleze wake z kiafrika waache deso,walopata walipoenda BEILJING CHINA-Matokeo n fakelove! Hao HG wajue UDHAIFU w bwana wa wenyewe hivyo atahakikisha ameziba pengo,n mwisho n mama kupewa likizo majuma mawili n hela tele!arudipo duuuuh!serikali...
  4. K

    My husband cheated on me, and has a 3-year-old daughter?

    Wana jamii forum mpo?nawapenda nyote hasa kwa ushauri mnaomshauri huyo mdada!yeye n mtu mzima tena aliyekomaa kiakili,mwenye uzoevu kimaisha. Ushauri umetosha. Lililobaki ni Maandiko yanena vipi kw jambo hili?
  5. K

    Kwa nini wanawake warembo hawadumu kwenye ndoa zao?

    True!!wanawake wazuri wazaliwa na mtatizo!!
  6. K

    Eti uume wake mdogo?

    wamasai!!! Mmetuzimia sio?wamasai wana ubora sio! Hahahahahahaha......nichangie tu mada..namshauri avumlie..vipaji hafinani!
  7. K

    Eti wanawake wenye kipato kisichopungua Milioni 3 kwa mwezi hawaoleki…!

    samahani mdau!!taratibu kidogo!!yaani mapinduzi yameanza??ndo mshaanza hata kuleta vikwazo ktk ndoa?lo tufahamishe tu kikao cha beiljing imezaa matunda? Salaaaaaaalaaa! Wanaume ikiwa wazungu wamewateach african ladies kubadili nyendo mbay ktk ndoa n hata kiungozi! Ni vema nasi tuanzishe kuoa kw...
  8. K

    Eti wanawake wenye kipato kisichopungua Milioni 3 kwa mwezi hawaoleki…!

    Lo!naunga mkono!!jinsia hii ya kike, wajue wao ni shingo, na kamwe hawatak uwa kichwa!!!watuheshimu na kututii,-si kama waume !nasi tutawatunza na kuishi nao tukijua wao n viumbe wadhaifu kiakili(samahani wadada)n waonyeshe upendo,unyenyekevu,uvumlivu,amani,wakijua wao ndio kichocheo cha amani...
  9. K

    Penzi la kweli

    wanajamvi! Mie n kijana w kitz,nimebatika kusafiri nchi kadhaa ktk east afrika. KTK pitapita zangu,nimepigwa na butwaa na kubaki nikishika tama!!nimetafuta suluhu kw wengi kabila,dini,tofauti,mataifa mbali mbali japo sikuridhika na majibu kwani tatizo lenyewe lazidi kupita mipaka...... Leo...
  10. K

    Kuwa makini na wanaume wa dizaini hii

    pole mwenzetu!ulijuaje?? Ndivyo ilivyo!
  11. K

    Ushauri unahitajika kwenye hili, Hasa from Married Man/Women

    ahsante mdau!kazi kibao!!istoshe ajue kuzaa si kazi!kazi ni kulea mwana,aandae hela kibao!!wangu alipofikisha miezi 3 alianza visirani kaa hizo,hataki hata kuniona!kama dume nilimwonyesha mapoz na kumjali mpaka akatambua y kuwa mume ana big position kw mjamzito....
  12. K

    Hukustahili kufa Katarina…..!

    oooh!pole kaka! Mpumbavu marehemu karatina!angeishi mpaka ajifungue na akiona ananyanyaswa sana ndipo aripoti kituo cha polisi?wadada tujifunze kitu
  13. K

    Hivi ni kwanini wanawake wenye makalio makubwa wanapendwa sana siku hizi?

    nawafagilia wairaqwi toka mbulu!hapa kisongo nakuambia waume wa wenyewe wamebambwa,mpaka wamama wa KIARUSHA watishia kuwatoa mjini pale... Tena free game bora chips na mayai ha si kuku!!
  14. K

    Hivi ni kwanini wanawake wenye makalio makubwa wanapendwa sana siku hizi?

    hahaaaa!staili ipi nami nijaribu?kwani huwa nakawia kufika kileleni?
  15. K

    Hamas Calls for Suicide Attacks on Israel...

    Debe tupu halikosi kelele!mungu sio mwanadamu!israel must grow!!!
Back
Top Bottom