Recent content by kishikizo

  1. K

    Kura za maoni CHADEMA Mtwara mjini: Habari ya mjini ni Joel Nanauka

    Hongera kwa kamanda Joel, lakini pia hongera kwa kamanda mandoa..mandoa ni kijana mdogo mwenye uwezo wa kujaribu kwa mara nyingine tena miaka hijayo. Harakati zake wanamtwara tunazijua amekisaidia chama kuenea kwa kasi mjini mtwara kwa asilimia kubwa.. Sasa ni Muda wa kuunganisha nguvu kuelekea...
  2. K

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe ajiunga na Team Lowassa kumhujumu Membe

    Mkuu aliyo zungumza lizaboni ni sahihi kabisa mimi niko nachingwea hapa na ninafahamiana na mtoto wake chikawe na Alisha wahi nieleza huo mkakati na pia ni ukweli ulio wazi kabisa chikawe na membe hawaivi changu Kimoja..... Na pia team chikawe wamejiandaa kufanya kila linalo wezekana kuhakikisha...
  3. K

    Mkombozi bank wameita?

    Nami pia niliomba, customer service officer's, ila naona kimyaaaaa mpaka leo..... Na pia FIRST NATIONAL BANK na wenyewe sijui wameita?
  4. K

    Zitto Kabwe ang'ara Kimataifa

    kati ya wewe na Zitto nani kanyea kambi??we unafikiri kua katibu wa AFROPAC ni swala la kitoto??jamaa yako mbowe na slaa hawatapata bahati hiyo mpaka wanaingia kaburini!
  5. K

    Zitto Kabwe ang'ara Kimataifa

    kati ya wewe na Zitto nani kanyea kambi??we unafikiri kua katibu wa AFROPAC ni swala la kitoto??jamaa yako mbowe na slaa hawatapata bahati hiyo mpaka wanaingia karibuni!
  6. K

    Hivi mtu kuwa Cream inamaanisha kuwa na First Class au Upper Second?

    Mkuu unaonekana una wivu sana,kwa taarifa yako hiko chuo cha rock cite,A inaanza 80,wakati chuo ulichosoma wewe A inaanza 75 wakati kule rock city hyo ni B+, "anyway the matter here is what ur going to deliver on the field and not where u hav graduated" wewe uliesoma chuo kizuri na sie...
  7. K

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    mimi sijatumiwa,ila kuna rafiki yangu katumiwa,kaambiwa yeye amefanikiwa kuingia kwenye timu yao ya mafunzo,ila kuna mabadiliko ya tarehe ya kuanza hayo mafunzo,yalitakiwa kuanza tarehe moja mwezi wa nne,ila wamepokea order toka kwa uongozi wa MCB kua waongeze watu wengine kumi ili watimie...
  8. K

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    Kwa mujibu wa taarifa niliyo ipokea hivi punde toka kwa yule mtu wangu wa karibu alietumiwa email amesema namnukuu" nimetumiwa email leo asubuhi na wale jamaa wa MCB,wameniambia nimeteuliwa kuingia kwenye timu yao ya mafunzo,pia wameniambia mafunzo yalipangwa kuanza tarehe moja mwezi wa nne huko...
  9. K

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    kanifowardia email sema nimeshindwa kuisoma simu yangu haina uwezo wa kusoma document!ni attachement document!
  10. K

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    Jamaa wamesha anza kutuma email,leo kuna mwenzangu ametumiwa email na hao jamaa!
  11. K

    Mwanza Community Bank

    HAWA JAMAA TAYARI WAMESHA ANZA KUTUMA EMAIL,kuna mwenzangu ameshatumiwa leo asubuhi,kwa hyo musikate tamaa wadau!
  12. K

    Mwanza Community Bank

    Kaka bado unamatumaini na hao watapeli?mi nishakata tamaa kitambo,nilipo waona wanatuma sms za kuomba mlungula nikajua hakuna ajira hapa
  13. K

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    BASI KAMA HAO MWANZA COMMUNITY BANK WANAUONA HUU UPUUZI KISHA WANAENDELEA KULA KIMYA BASI NA WENYEWE WATAKUA WANAHUSIKA KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE!THEY ARE CORRUPT IN NATURE,they allow someone to use their logo to lie majority of tanzanian!this is too much!
  14. K

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    Vipi ulifanya ile test yao?nami niliifanya nikaona kuna kamwanga kidogo sasa Sijui tufanyaje sisi ma jobless!
Back
Top Bottom