Hongera kwa kamanda Joel, lakini pia hongera kwa kamanda mandoa..mandoa ni kijana mdogo mwenye uwezo wa kujaribu kwa mara nyingine tena miaka hijayo. Harakati zake wanamtwara tunazijua amekisaidia chama kuenea kwa kasi mjini mtwara kwa asilimia kubwa.. Sasa ni Muda wa kuunganisha nguvu kuelekea...
Mkuu aliyo zungumza lizaboni ni sahihi kabisa mimi niko nachingwea hapa na ninafahamiana na mtoto wake chikawe na Alisha wahi nieleza huo mkakati na pia ni ukweli ulio wazi kabisa chikawe na membe hawaivi changu Kimoja..... Na pia team chikawe wamejiandaa kufanya kila linalo wezekana kuhakikisha...
kati ya wewe na Zitto nani kanyea kambi??we unafikiri kua katibu wa AFROPAC ni swala la kitoto??jamaa yako mbowe na slaa hawatapata bahati hiyo mpaka wanaingia kaburini!
kati ya wewe na Zitto nani kanyea kambi??we unafikiri kua katibu wa AFROPAC ni swala la kitoto??jamaa yako mbowe na slaa hawatapata bahati hiyo mpaka wanaingia karibuni!
Mkuu unaonekana una wivu sana,kwa taarifa yako hiko chuo cha rock cite,A inaanza 80,wakati chuo ulichosoma wewe A inaanza 75 wakati kule rock city hyo ni B+, "anyway the matter here is what ur going to deliver on the field and not where u hav graduated" wewe uliesoma chuo kizuri na sie...
mimi sijatumiwa,ila kuna rafiki yangu katumiwa,kaambiwa yeye amefanikiwa kuingia kwenye timu yao ya mafunzo,ila kuna mabadiliko ya tarehe ya kuanza hayo mafunzo,yalitakiwa kuanza tarehe moja mwezi wa nne,ila wamepokea order toka kwa uongozi wa MCB kua waongeze watu wengine kumi ili watimie...
Kwa mujibu wa taarifa niliyo ipokea hivi punde toka kwa yule mtu wangu wa karibu alietumiwa email amesema namnukuu" nimetumiwa email leo asubuhi na wale jamaa wa MCB,wameniambia nimeteuliwa kuingia kwenye timu yao ya mafunzo,pia wameniambia mafunzo yalipangwa kuanza tarehe moja mwezi wa nne huko...
BASI KAMA HAO MWANZA COMMUNITY BANK WANAUONA HUU UPUUZI KISHA WANAENDELEA KULA KIMYA BASI NA WENYEWE WATAKUA WANAHUSIKA KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE!THEY ARE CORRUPT IN NATURE,they allow someone to use their logo to lie majority of tanzanian!this is too much!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.