Mi nlishtuka kuona kivuzi mk..u..N...u,mpaka jamaa mmoja ni mkubwa katika story zake akasema mwanaume lazima awe na hiyo kitu kuashiria hauliwi kabang ndipo moyo ukatulia...
miti yake inadondosha sana coz matunda yake yanakaa mwishoni mwa tawi so ili kuyapata unatakiwa uyafuate kwa kulalia tumbo au uwe na ndoana uyavute.ukiyala ulimi unajaa ukakasi.dah!i miss them too!
mi nadhani ni malezi ndo yanachangia.bt first born tunatazamwa sana.hata kosa ukilifanya litaonekana kubwa kuliko wangelifanya wadogo zako.tunajituma kama mafirst born.and am proud to be the first born in ma family.
kama CHADEMA wote wangekuwa wanaongelea mshikamano na kwa utulivu kama alivyo ongea huyu mzee CHADEMA ingekuwa kimbilio la kweli.kiongozi ni lazima upime kauli zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.