Nakuhakikishia una jipu lililoiva huna budi kulitumbua,,,Usipolitumbua litakutesa milele achana na mabahili wa kigoma nenda benki kachukue pesa kama ni kumjengea mzazi fanya hivyo huo mzigo uondoe, usije dondoka ghafla ukaenda na mawazo yako kaburini binadamu tunakatika ghafla xana,,,chukua...