Umeshawahi kujaribu kuchunguza experience yake ya siku za mwanzo shuleni? Sometimes kuna shule zinamfanya mtoto aogope kwenda shule asubuhi. Cases zs bullying, walimu wenye changamoto na hata wazazi, zinachangia sana watoto kukwepa kwenda shule. Kama umeshindwa kuongea na mtoto kugundua tatizo...
Kwa hiyo Daktari aliyeamua kupata mshahara mdogo ili kuokoa maisha ya watu hana akili. Kwa hiyo mwalimu wa shule ya msingi St Kayumba kwa wito wake akaamua kujitolea kufundisha watoto wa kaya masikini kwa mshahara mdogo hana akili, kwa hiyo hata wale wataalamu wengine waliojitolea kusaidia jamii...
Kuna katabia kanalelewa na kakiachwa kataenda kuwaabisha hadi viongozi wakuu wa nchi. Kuna tararibu za kiuwajibikaji serikalini na kwa chama. Hizi fujo za kuwakaripia mawaziri na viongozi wengine ambao wako accountable kwa Rais, Waziri Mkuu na katibu mkuu kiongozi ni za kidhalilishaji. Iko siku...
Tunapenda sana shortcut bila kuweka juhudi. Mtoto anakaa kwenye TV Jumatatu mpaka Jumatatu, mzazi yuko busy na iPhone 15 then anataka TEC wamuingize tu kwenye shule zao bila kufaulu.
Wameweka criteria ya kujiunga na shule zao na mtu ukitaka unafuata taratibu. Ni mchakato kwenye shule na vyuo vingi duniani.
Hali kadhalika, kuna vigezo vingine kama tabia n.k. Ukiingia ukaleta tabia zisizokubalika unafukuzwa mara moja.
Tumeona quality ya wanafunzi wa hizo shule na hata...
Uwezo wa mwanaume asiye na tatizo, kumridhisha mwanamke kunategemea sana wote wawili. Mwanamke akiwa mchafu, mzito, hana manjonjo na hapendani na huyo mwanaume, asibashiri kuna dawa zitamtibu mwanaume.
Kuna baadhi ya wanawake wanachangia sana kutengeneza wanaume kuwa katili. Wakipendwa sana wanaleta dharau. Wanaacha wanaume kwa ukatili tena kwa kuwadhalilisha pasi kujali. Matokeo yake wanaume wanabadilika na kutowajali kisha wanaanza uanarahakati.
Wanawake wanaojua kuwajali na kutodharau...
Kasikilize wataalamu wa sheria wakielezea kwanini huu mkataba ulihitaji ratification ya bunge. Huu mkataba unagusa utungaji na ubadilishaji wa sheria za nchi. Ni kanuni za kisheria na isingewezekana bila kupita bungeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.