Recent content by Kishazi

  1. K

    Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

    Umeshawahi kujaribu kuchunguza experience yake ya siku za mwanzo shuleni? Sometimes kuna shule zinamfanya mtoto aogope kwenda shule asubuhi. Cases zs bullying, walimu wenye changamoto na hata wazazi, zinachangia sana watoto kukwepa kwenda shule. Kama umeshindwa kuongea na mtoto kugundua tatizo...
  2. K

    Hii kauli Dotto Magari kuhusu Elimu. Anatakiwa achukuliwe hatua za kisheria kwa kupotosha na kutukana umma

    Kwa hiyo Daktari aliyeamua kupata mshahara mdogo ili kuokoa maisha ya watu hana akili. Kwa hiyo mwalimu wa shule ya msingi St Kayumba kwa wito wake akaamua kujitolea kufundisha watoto wa kaya masikini kwa mshahara mdogo hana akili, kwa hiyo hata wale wataalamu wengine waliojitolea kusaidia jamii...
  3. K

    Harmonize anazingua kinomah!

    Wabongo wanaotumia huu msemo wangejua maana yake wasingeutumia tena. Wajaribu kusema hivyo kwa a Jamaican, lina maana mbaya
  4. K

    Treni ya SGR imekuja kukomboa au kudidimiza wananchi? Hayati Magufuli asingekubali nauli hizi

    Ila wabongo tuna shida, basi na nauli za ATC kwenda Dodoma ziwe elfu ishirini. Compared to mabasi, kwa SGR we pay for the convenience and comfort
  5. K

    Katibu Mkuu CCM Chongolo hala hala baba, Makonda anakuja vibaya!

    Naomba kuelemishwa. Hivi anayofanya kwa mawaziri na viongozi wengine ni sawa kikatiba na kiprotokali?
  6. K

    Yafahamu Majukumu ya Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM

    Kuna katabia kanalelewa na kakiachwa kataenda kuwaabisha hadi viongozi wakuu wa nchi. Kuna tararibu za kiuwajibikaji serikalini na kwa chama. Hizi fujo za kuwakaripia mawaziri na viongozi wengine ambao wako accountable kwa Rais, Waziri Mkuu na katibu mkuu kiongozi ni za kidhalilishaji. Iko siku...
  7. K

    TEC toeni tamko kukemea ubaguzi kwenye elimu

    Tunapenda sana shortcut bila kuweka juhudi. Mtoto anakaa kwenye TV Jumatatu mpaka Jumatatu, mzazi yuko busy na iPhone 15 then anataka TEC wamuingize tu kwenye shule zao bila kufaulu.
  8. K

    TEC toeni tamko kukemea ubaguzi kwenye elimu

    Wameweka criteria ya kujiunga na shule zao na mtu ukitaka unafuata taratibu. Ni mchakato kwenye shule na vyuo vingi duniani. Hali kadhalika, kuna vigezo vingine kama tabia n.k. Ukiingia ukaleta tabia zisizokubalika unafukuzwa mara moja. Tumeona quality ya wanafunzi wa hizo shule na hata...
  9. K

    Jinsi ya kumpima mdada kama ana asilimia kubwa za kukubali au za kukukataa, kabla hujamtongoza

    Kuna watu wametoka familia au kwenye makuzi ya kuona kushare glasi, kikombe, chupa , kijiko kama jambo la kawaida.
  10. K

    Sehemu ya uzazi ya mwanamke kwa asili ya uumbaji wake kimuundo ni ngumu mwanamke kufika kileleni. Wanaume tusilaumiwe wanawake watuongoze wao.

    Uwezo wa mwanaume asiye na tatizo, kumridhisha mwanamke kunategemea sana wote wawili. Mwanamke akiwa mchafu, mzito, hana manjonjo na hapendani na huyo mwanaume, asibashiri kuna dawa zitamtibu mwanaume.
  11. K

    Umewahi kukataliwa hadharani kinyume na ulivyotarajia?

    Kuna baadhi ya wanawake wanachangia sana kutengeneza wanaume kuwa katili. Wakipendwa sana wanaleta dharau. Wanaacha wanaume kwa ukatili tena kwa kuwadhalilisha pasi kujali. Matokeo yake wanaume wanabadilika na kutowajali kisha wanaanza uanarahakati. Wanawake wanaojua kuwajali na kutodharau...
  12. K

    Kuna siri gani kati ya mwanaume mrefu mweusi na wanawake?

    Atarudi tu wanawake hawaeleweki.
  13. K

    Acheni kumuandama Rais Samia, angeweza kusaini bila kuwashirikisha na msingefanya chochote

    Kasikilize wataalamu wa sheria wakielezea kwanini huu mkataba ulihitaji ratification ya bunge. Huu mkataba unagusa utungaji na ubadilishaji wa sheria za nchi. Ni kanuni za kisheria na isingewezekana bila kupita bungeni.
Back
Top Bottom