Recent content by KISHAVI

  1. K

    TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

    Sina muda wa kuiangalia hii TV hakuna jipya zaidi ya kufanya siasa
  2. K

    G. Lema kuzungumza na waandishi wa habari kesho ofisini kwake

    Kwanza hujui kiswahili hujaeleweka
  3. K

    Amiri Jeshi Mkuu wangu Dkt. Magufuli nimekusikia, nimekuelewa na nakukubali 99% ila siku nyingine usirudie tena hilo Kosa!

    Hizo ndio professorial rubbish za ndio mzee huko saut wana question
  4. K

    Freeman Mbowe ni mgonjwa, ameenda kwenye matibabu Afrika Kusini

    My friend wengi waliomba lowasa afe mpaka Leo yupo wametangulia,jitizame Mungu wetu in mwema sana huna muda we we unaeombea wenzio mauti
  5. K

    Tusipokuwa waangalifu tutagombana na 'International Institutions' karibu zote

    Hatukuzuii kuongea mdomo ni wako ila kwa watu wenye busara kelele hazisaidii tusubiri maumivu
  6. K

    Sasa fananisha msimamo huu wa Mwalimu na msimamo wa CCM wa kuwaona wapinzani kama si wazalendo

    Nasikia kinyaa nchi inakoelekea ni Giza totoro .
  7. K

    Ilala: Madiwani CCM, CHADEMA ‘wazichapa kavukavu’

    [emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji2]
  8. K

    NSSF inachosha, kumbe fao la kujitoa halipo tena mbona mnatusumbua

    Kweli hatuna wawakilishi wanapitisha miswada ya kunyonya RAIA ila wao chao wanachukua mapema .hili taifa limezidi kutugandamiza sana tumewalipa kodi zao na bado wanangangania na haki yetu kuna haja ya Muumba wa hii dunia Ku restructure dunia wake wengine waanze upya
  9. K

    Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT), Gaudencia Kabaka: Natamani Viti Maalum Bungeni viongezeke.

    Wanawake wajitathimini kwanza he ni wamoja ? Iweje make upendeleo ili hali nyie ndio mnaokuwa mstari wa mbele kuwapinga wanawake wenzenu wanaogombea majimbo?lakumwambia huyu mwenyekiti ni aache unagiki juzi alipanda kwenye jukwaa kumponda Asia na kumwibia kura ,angejua hill angesimama kumpambania
  10. K

    Polepole: Makonda hakupaswa kufanya sherehe na Polisi

    Yaani huyu polepole nahisi ni mgonjwa najisikia kichefuchefu
Back
Top Bottom