soine
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,113
- 2,329
Mada yajieleza. Hata kama kuna kitu kinafunikwa ukweli utakuwa wazi siku moja. Tumechoka kutuhumiana na kubaki bila taarifa sahihi.
Kuna haja ya kuchunguza kwa umakini, hata iwepo ban still inawezekana kuchunguza na kujua nani mkweli.
Zitto: Raia 100 na Polisi 2
IGP: Raia 2 na Polisi 2
Mbunge wa eneo husika: Zaidi ya raia 17 na polisi 2.
Kuna haja ya kuingia kazini.
Kuna haja ya kuchunguza kwa umakini, hata iwepo ban still inawezekana kuchunguza na kujua nani mkweli.
Zitto: Raia 100 na Polisi 2
IGP: Raia 2 na Polisi 2
Mbunge wa eneo husika: Zaidi ya raia 17 na polisi 2.
Kuna haja ya kuingia kazini.