Recent content by kishae

  1. K

    Mwanaume kujiua kwa sababu ya mapenzi ni uzembe wa kwanza duniani

    hv uzembe wa kwanza na wa mwisho, upi ni mbaya zaidi?
  2. K

    Nimerudi Vodacom yenye Ubora Mara baada ya Kudanganywa na Halotel

    kuna application na link nzuri za kupima speed ya mtandao, jaribu sehemu 3 tofauti kwa kila mtandao, labda unaweza kujifunza kitu kikakusaidia.
  3. K

    Kama dunia ni duara sisi tupo ndani au nje?

    Scientists Unlock Secrets Of Earth's Inner Core Scientists find oddly behaving 'inner-inner core' at Earth's center soma hvyo utaelewa ninachoongea
  4. K

    Kama dunia ni duara sisi tupo ndani au nje?

    jaribu kufuatilia earth core ina vitu gan halafu angalia jua ina vitu gani, gravitation force ya dunia inatoka kwenye core, some elements zilizopo kwenye core ndizo zipo kwenye jua, ndo maana dunia inazunguka kwenye muhimili wake ambao nguvu za mvutano zinatoka kwenye core, kama vile...
  5. K

    Kama dunia ni duara sisi tupo ndani au nje?

    mi nina swali la nyongeza, je dunia ina jua lake lenyewe kwa ndani (earth core)?
  6. K

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    mkielewa vyanzo vya vita za crusade na jihadi, labda mnaweza jifunza kitu. Naamini Mungu ni mwenye upendo wa kipekee lkn watu wanamfanya aonekane ni Muuaji na wakat huo wanasema anaua kwa malengo, rejea maandiko ya vitabu vyote, na watu wanajihalalishia kuua au kudhuru au kutumikisha au kubagua...
  7. K

    Kweli imeshindikana kupeleka hata msaada kwa ndugu zetu wa Kagera?

    Leo ni siku ya pili toka wenzetu wa Kagera walipokumbwa na janga la tetemeko, lakini cha kushangaza taarifa ya habari ya saa 1 jioni pamoja na kuipa kipaumbele sherehe ya Iddi, sijamsikia hata mtu mmoja ktk taarifa hiyo amesema tuwaombee wenzetu wa Kagera. Je imeshindikana kabisa kupeleka hata...
  8. K

    Jinsi ya kupakua videos za YouTube | How to download YouTube videos

    nyuma ya youtube, mfano https://ssyoutube....
  9. K

    Mahakama yamtia hatiani mwanamke kwa kukataa kurudiana na mumewe

    ndoa ni mkataba unaosainiwa baina ya watu wawili mbele ya mashaidi kadhaa, kuuvunja huo mkataba kuna taratibu zake.
  10. K

    Orodha ya Huduma na matunda Walibya waliyopata enzi za Gadaffi

    kosa kubwa alofanya ni kuchochea kuziunganisha nchi za africa kuwa kitu kimoja, united states of africa.
Back
Top Bottom