Huyu jamaa namkubaligi sana.
Kwa sasa naona hatas Mimi naenda kumuangalia kwenye lig Yao.
Pogba ana entertaining football huwez ukamfananisha na MD Hawa tunaowaona sasa.
Professionally asingependa kupoteza, na kwa sasa amepata club ya heshima. Na atamalizia kazi yake hatujui huko Arabia au...
Iwe na sifa hizi.
-Ada nafuu
-Elimu Bora
-Isiyo na makuu
-Iliyotulia
-Watoto wa hali zote
-kidato cha 1-6
Nk
My take.
Hizi shule tunazopeleka watoto zinachangamoto nyingi, ukute shule walimu hawajitumi. Lkn kuna shule walimu wanafanyakaz ya Mungu. Hizi shule zenye walimu wa aina hii kumtumikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.