Recent content by Kisesetusese

  1. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JF: Wana JF tujifunze kuvumiliana pale tunapopishana mawazo. Tupinge hoja kwa hoja, tuache matusi

    Hivi? Pascal kwa nini hutaki kazi serikalini?
  2. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Siku saba za raha: tuzogoe 😊 halafu tukutane kesho saa 12 jioni

    Maji maji ndio mpango
  3. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

    Mkuu acha tu. Kuna wakati watoto wakija nyumbani kwangu nawafukuza kuhofia kushutumiwa. Nimeona Bora nionekane mbaya kuliko kufedheheka, unakuta hata kwenye misiba unaona aibu kuhudhuria. Kuhusu suala langu, anaeamini aamini, mwenye mashaka akae nayo. Najua kwa uwezo la labana kuna Sababu ya...
  4. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

    Nimeshafanya mkuu asante, amenielewa na kwa kuwa sina tabia hizi za kishenzi, nilimhoji kuwa sina historia ya uzinzi na anajua hivyo. Na kwa kweli niwashaur wanaume wenzangu kukaa mbali na watoto wetu wa kike na WA majirani pia
  5. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

    Uzur hana access na nje na amehojiwa upya amekiri hajafanyiwa. Na mamaake ameamini hivyo. Na nimezidi kumshauri kuhakikisha anawachunguza Wanaweka mara kwa mara kuondoa hofu na mashaka ya aina hiyo
  6. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

    Nimeonhea nae amenielewa na nilimsisitizia kuchunguza wanae kwa sababu miaka hii hali sio nzur kwa baba,kaka,mjomba. Nk ameelewa na kwa kweli wanaume tukae mbali na watoto wetu wa kike na wamajirani, uaminifu haupo tena
  7. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

    Mkuu unaweza mbali, kikubwa umetambua watu wengi tuna tatizo afya ya akili. Binafsi nimeona naongeza tatizo katika mazingira ya nyumbani kwangu. Yaani nimemuelewesha wife akanielewa.leo.anaona aibu yeye. Nikifadhaika.sana.
  8. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Hi nchi imeharibika kila angle, traffic wanaposimamisha kila daladala

    Wakuu hii ishu inauma sana. Hawa jamaa wanaposimamisha kila daladala ni kwa ajili ya kula 2000 Atakapokuja Rais mwingine atapata shida sana kuirejesha nchi mahala pake
  9. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

    Je una stress. Relax comment later
  10. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

    Siwez kisex na mtoto wangu Seqen kisex na mtoto wangu kamwe
  11. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

    Mkuu siwez kumfanya kitu cha namna hiyo. Ila.mke..anahisi nimefanya kwa.sabab anafanana na.mwanagu viungoni. Siwez kisex na mtoto wangu. Kwenye thread nimesemamwife anahisi na sex na mtoto sio kweli
  12. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

    Nimesema.kila kitu na nimeeleweka Sasa wewe una bwaneaja kijina. Kiufupi sijafanya hicho kitu. Najiamini siwez Fanya ujinga hio
  13. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

    Inaonekana huhotaji kusikiliza huna maana yoyote
  14. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

    Ni ngumu sana kueleweka
Back
Top Bottom