Mkuu acha tu. Kuna wakati watoto wakija nyumbani kwangu nawafukuza kuhofia kushutumiwa. Nimeona Bora nionekane mbaya kuliko kufedheheka, unakuta hata kwenye misiba unaona aibu kuhudhuria.
Kuhusu suala langu, anaeamini aamini, mwenye mashaka akae nayo.
Najua kwa uwezo la labana kuna Sababu ya...
Nimeshafanya mkuu asante, amenielewa na kwa kuwa sina tabia hizi za kishenzi, nilimhoji kuwa sina historia ya uzinzi na anajua hivyo. Na kwa kweli niwashaur wanaume wenzangu kukaa mbali na watoto wetu wa kike na WA majirani pia
Uzur hana access na nje na amehojiwa upya amekiri hajafanyiwa. Na mamaake ameamini hivyo. Na nimezidi kumshauri kuhakikisha anawachunguza Wanaweka mara kwa mara kuondoa hofu na mashaka ya aina hiyo
Nimeonhea nae amenielewa na nilimsisitizia kuchunguza wanae kwa sababu miaka hii hali sio nzur kwa baba,kaka,mjomba. Nk ameelewa na kwa kweli wanaume tukae mbali na watoto wetu wa kike na wamajirani, uaminifu haupo tena
Mkuu unaweza mbali, kikubwa umetambua watu wengi tuna tatizo afya ya akili. Binafsi nimeona naongeza tatizo katika mazingira ya nyumbani kwangu. Yaani nimemuelewesha wife akanielewa.leo.anaona aibu yeye. Nikifadhaika.sana.
Wakuu hii ishu inauma sana.
Hawa jamaa wanaposimamisha kila daladala ni kwa ajili ya kula 2000
Atakapokuja Rais mwingine atapata shida sana kuirejesha nchi mahala pake
Mkuu siwez kumfanya kitu cha namna hiyo. Ila.mke..anahisi nimefanya kwa.sabab anafanana na.mwanagu viungoni. Siwez kisex na mtoto wangu. Kwenye thread nimesemamwife anahisi na sex na mtoto sio kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.