Hii list mdee hawezi kuongoza watu maana ni mswahili,fisadi,hafai
Lema bado utoto unamsumbua.
Mnyika ubinafsi na kutokuwa na maamuzi binafsi.
Ndesamburo uzee umezidi
Lowassa ni kiongozi MBUNIFU alibuni njia tatu dar, shule za kata na ualimu wa muda mfupi kutatua tatizo
MCHAPA KAZI hakai ofisini anaenda kwa wananchi
MAAMUZI anaweza kufanya maamuzi kwa wakati
ANASIMAMIA UADILIFU aliwachukulia hatua viongozi wazembe
MZALENDO kwa nchi yake
HELLO TANZANIA
Mimi ALBINO nina haki ya kuishi.
Siku : Jumapili
Tarehe :19/04/2015
Muda : Saa 2 Asubuhi
Tukio : Matembezi ya hisani
Mh Edward Lowassa atashiriki nasi Watanzania wote katika matembezi ya hisani kwa umbali wa km 5 kupinga mauaji dhidi ya ALBINO, Matembezi yataanzia katika...
Jambo ambalo halina ubishi ni kwamba zitto alikosa
na ni dhahiri pia chadema hawakutaka kutumia busara katika kufikia muafaka
sasa chadema jifunzeni kutumia busara na wapeni watu uhuru wa kuamua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.