Recent content by kisana moja

  1. K

    Mke mwema mtarajiwa hapokei simu zangu, kwanini?

    Nipe namba yake nimuulize vzr
  2. K

    Kapoteza fahamu baada ya kuachwa

    Mwambie anitafutee
  3. K

    Usajili UDOM 1st year ni kero kubwa

    Siku tatu tuu unalalamika.....pumbafuuuu
  4. K

    Wasichana kuchelewa kutoa jibu la kuingia katika mahusiano, nini sababu?

    Habari wana MMU, Napenda kuona mawazo yenu juu ya hili. Wasichana kuchelewa kutoa jibu la kuingia katika mahusiano ni kutaka kulifanyia kazi ombi hilo kabla ya uamzi au wanatimiza matakwa ya tamaduni za Kiafrika? Karibuni katika mjadala huu
  5. K

    Ushauri juu ya mtu kuachwa na mpenzi wake

    [emoji13] [emoji13] Ulimwenguni hapa ni vizuri kujifunza na tunajifunza kwa kiasi kikubwa kutokana na mawazo ya watu wengine kwaiyo sioni ubaya pia kujifunza juu ya suala hilo kutok kwa hao waadishi.
  6. K

    Natafuta mpenzi wa kunioa anaeishi nje ya Afrika

    Wew uko wapi saivi
  7. K

    Ushauri juu ya mtu kuachwa na mpenzi wake

    Habarini marafiki, Naomba mwenye makala nzuri yenye ushauri juu ya mtu kuachwa na mpenzi wake ama inayozungumzia suala la mahusiano kwa ujumla anitumie tafadhari. Asante
  8. K

    Bwana asifiwe,Namtafuta girl aliyeokoka wa kumwoa!

    [emoji13] [emoji13] [emoji13]
  9. K

    tafadhari nahitaji msaada

    Habari! ndugu zangu mimi nipo Dodoma nina tatizo moja nasumbuliwa na vidonda vya tumbo nimekata tamaa kabisa, hivyo naomba mwenye maelezo anipe njia elekezi namna ya kupata tiba au nifanyeje angalau nipunguze maumivu haya .
Back
Top Bottom