Afanye juu chini ipatikane tume huru ya uchaguziTaja moja tu moja Kwa moja Bila kuzunguka tuone tatizo liko wapi? Taja moja ambalo Kwa mujibu wa katiba lipo ndani ya uwezo wa rais na halihitaji nguvu nyingi zaidi ya maamuzi tu Bila kujali siasa. Jambo lenyewe liwe linagusa kweli kweli Maslahi ya wanyonge liwe linasaidia mamilioni ya watu na unahisi bado halijafanyika na tatizo liko ndani ya mamlaka hio kuu. Moja tu likifanyika utapata Imani kuwa rais magufuli anamaanisha na labda pengine ni changamoto fulani zinatatiza. Moja tu
Huyo Rungwe ndio hamna kitu kabisaUmemsikia Rungwe?,
Aiseeafungue corner bar sinza
KUJIUZULUTaja moja tu moja Kwa moja Bila kuzunguka tuone tatizo liko wapi? Taja moja ambalo Kwa mujibu wa katiba lipo ndani ya uwezo wa rais na halihitaji nguvu nyingi zaidi ya maamuzi tu Bila kujali siasa. Jambo lenyewe liwe linagusa kweli kweli Maslahi ya wanyonge liwe linasaidia mamilioni ya watu na unahisi bado halijafanyika na tatizo liko ndani ya mamlaka hio kuu. Moja tu likifanyika utapata Imani kuwa rais magufuli anamaanisha na labda pengine ni changamoto fulani zinatatiza. Moja tu
Kuna watu wa hovyo bado wana imani nayeMiaka iende asepe tu
Hilo lina ugumu ndugu wanyumbani kabisa! Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!Taja moja tu moja Kwa moja Bila kuzunguka tuone tatizo liko wapi? Taja moja ambalo Kwa mujibu wa katiba lipo ndani ya uwezo wa rais na halihitaji nguvu nyingi zaidi ya maamuzi tu Bila kujali siasa. Jambo lenyewe liwe linagusa kweli kweli Maslahi ya wanyonge liwe linasaidia mamilioni ya watu na unahisi bado halijafanyika na tatizo liko ndani ya mamlaka hio kuu. Moja tu likifanyika utapata Imani kuwa rais magufuli anamaanisha na labda pengine ni changamoto fulani zinatatiza. Moja tu
Avunje bunge turudi kwa boksi!Taja moja tu moja Kwa moja Bila kuzunguka tuone tatizo liko wapi? Taja moja ambalo Kwa mujibu wa katiba lipo ndani ya uwezo wa rais na halihitaji nguvu nyingi zaidi ya maamuzi tu Bila kujali siasa. Jambo lenyewe liwe linagusa kweli kweli Maslahi ya wanyonge liwe linasaidia mamilioni ya watu na unahisi bado halijafanyika na tatizo liko ndani ya mamlaka hio kuu. Moja tu likifanyika utapata Imani kuwa rais magufuli anamaanisha na labda pengine ni changamoto fulani zinatatiza. Moja tu
Hao watu sidhani kama huwa zinawatosha nadhani ni kina bashite rapaKuna watu wa hovyo bado wana imani naye
Sana sana watu wa mikoani jamaa akienda kuhutubia huwa wanamshangilia sana
KabisaKujiuzulu
Yeye kujiuzuru na tukarudi kwenye uchaguziTaja moja tu moja Kwa moja Bila kuzunguka tuone tatizo liko wapi? Taja moja ambalo Kwa mujibu wa katiba lipo ndani ya uwezo wa rais na halihitaji nguvu nyingi zaidi ya maamuzi tu Bila kujali siasa. Jambo lenyewe liwe linagusa kweli kweli Maslahi ya wanyonge liwe linasaidia mamilioni ya watu na unahisi bado halijafanyika na tatizo liko ndani ya mamlaka hio kuu. Moja tu likifanyika utapata Imani kuwa rais magufuli anamaanisha na labda pengine ni changamoto fulani zinatatiza. Moja tu
Mkuu jambo unalolisema ni kweli kabisa kuwa lazima RC aondoe utata kuhusu vyeti vyake au awajibike kwa endapo itabainika ameghushi vyeti. Binafsi sifurahishwi na huu u-double standard ila hoja inabaki pale kuwa, je, hili swala la vyeti linagusa vipi changamoto za kimaisha za watanzania wanyonge?
Exactly!!!Kusiwe na double standards katika utendaji wake. Akumbuke RAIA wote tuna hadhi sawa mbele ya sheria!
Mshara Wa Raisi ni Exempted under income Tax act Revised Edition 233. Ya Tz Mdau. Iko ivo kisheriaUmejuaje kama halipi kodi