Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

Taja moja tu moja Kwa moja Bila kuzunguka tuone tatizo liko wapi? Taja moja ambalo Kwa mujibu wa katiba lipo ndani ya uwezo wa rais na halihitaji nguvu nyingi zaidi ya maamuzi tu Bila kujali siasa. Jambo lenyewe liwe linagusa kweli kweli Maslahi ya wanyonge liwe linasaidia mamilioni ya watu na unahisi bado halijafanyika na tatizo liko ndani ya mamlaka hio kuu. Moja tu likifanyika utapata Imani kuwa rais magufuli anamaanisha na labda pengine ni changamoto fulani zinatatiza. Moja tu
Afanye juu chini ipatikane tume huru ya uchaguzi
 
Taja moja tu moja Kwa moja Bila kuzunguka tuone tatizo liko wapi? Taja moja ambalo Kwa mujibu wa katiba lipo ndani ya uwezo wa rais na halihitaji nguvu nyingi zaidi ya maamuzi tu Bila kujali siasa. Jambo lenyewe liwe linagusa kweli kweli Maslahi ya wanyonge liwe linasaidia mamilioni ya watu na unahisi bado halijafanyika na tatizo liko ndani ya mamlaka hio kuu. Moja tu likifanyika utapata Imani kuwa rais magufuli anamaanisha na labda pengine ni changamoto fulani zinatatiza. Moja tu
KUJIUZULU
 
Taja moja tu moja Kwa moja Bila kuzunguka tuone tatizo liko wapi? Taja moja ambalo Kwa mujibu wa katiba lipo ndani ya uwezo wa rais na halihitaji nguvu nyingi zaidi ya maamuzi tu Bila kujali siasa. Jambo lenyewe liwe linagusa kweli kweli Maslahi ya wanyonge liwe linasaidia mamilioni ya watu na unahisi bado halijafanyika na tatizo liko ndani ya mamlaka hio kuu. Moja tu likifanyika utapata Imani kuwa rais magufuli anamaanisha na labda pengine ni changamoto fulani zinatatiza. Moja tu
Hilo lina ugumu ndugu wanyumbani kabisa! Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
Taja moja tu moja Kwa moja Bila kuzunguka tuone tatizo liko wapi? Taja moja ambalo Kwa mujibu wa katiba lipo ndani ya uwezo wa rais na halihitaji nguvu nyingi zaidi ya maamuzi tu Bila kujali siasa. Jambo lenyewe liwe linagusa kweli kweli Maslahi ya wanyonge liwe linasaidia mamilioni ya watu na unahisi bado halijafanyika na tatizo liko ndani ya mamlaka hio kuu. Moja tu likifanyika utapata Imani kuwa rais magufuli anamaanisha na labda pengine ni changamoto fulani zinatatiza. Moja tu
Avunje bunge turudi kwa boksi!
 
Alipwe mshahara na awe anaenda gengeni kujinunulia chakula atajua bei ya sembe imepanda 3 times tokea aingie madarakani.
 
Taja moja tu moja Kwa moja Bila kuzunguka tuone tatizo liko wapi? Taja moja ambalo Kwa mujibu wa katiba lipo ndani ya uwezo wa rais na halihitaji nguvu nyingi zaidi ya maamuzi tu Bila kujali siasa. Jambo lenyewe liwe linagusa kweli kweli Maslahi ya wanyonge liwe linasaidia mamilioni ya watu na unahisi bado halijafanyika na tatizo liko ndani ya mamlaka hio kuu. Moja tu likifanyika utapata Imani kuwa rais magufuli anamaanisha na labda pengine ni changamoto fulani zinatatiza. Moja tu
Yeye kujiuzuru na tukarudi kwenye uchaguzi
 
Lina leta mdororo wa imani kwa Rais. Wananchi na hata wasaidizi wake watakosa imani naye. Na wakishakosa imani naye itamwia vigumu sana yeye mh Rais kutekeleza kwa ufanisi kazi ya kulitumikia taifa hasa wanyonge wa taifa hili.

Hii imani twaweza iita support au kuungwa mkono, sasa mdororo wa kuwa supported ukijitokeza hata kusema kauli kama "sijaribiwi" hataweza. Hii anaisema maana tuko watu tena wengi tulio na imani naye.

Atafanya vipi kazi na watu wasio na imani naye? Au kuna kitu chengine?

Na washawasha!




Mkuu jambo unalolisema ni kweli kabisa kuwa lazima RC aondoe utata kuhusu vyeti vyake au awajibike kwa endapo itabainika ameghushi vyeti. Binafsi sifurahishwi na huu u-double standard ila hoja inabaki pale kuwa, je, hili swala la vyeti linagusa vipi changamoto za kimaisha za watanzania wanyonge?
 
Back
Top Bottom