Recent content by kisalii

  1. K

    Msaada: Kufungua ofisi ya computer maintenance and repair

    Shukran mkuu, nilitaka nipate ufafanuz kutoka kwa watu wenye uzoefu na target ilkuwa pia kujua bei ya vifaa Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Msaada: Kufungua ofisi ya computer maintenance and repair

    Habari za muda huu wadau! Nawasalimu, kama kichwa cha habari kilivyoeleza nakaribia kumaliza chuo hivyo natamani nifungue ofisi ya kufanya maintenance na graphics. Kwenye comp maintenance natakiwa kuwa na vifaa gani kwa kuanzia? Na hivyo vifaa ni bei gani? Naombeni mnisaidie wadau najua...
  3. K

    Maisha ya Arusha sio

    Mkuuu sing'isi kitaa chetu ni sehemu salama sana kwa sasa
  4. K

    Mambo usiyoyafahamu kuhusu biashara ya ngono kwenye mitaa na guest house za Manzese

    Sema huo mtaa ni hatari sana aisee, kule nahisi 50% ya watu wanafanya mambo ya kihuni, m sio mwenyeji huko lkn kufika Mara ya kwanza moyo ulkuwa unadunda kila nikichek kwenye bar naona watu ambao kijijini kwetu hawapo
  5. K

    Mambo usiyoyafahamu kuhusu biashara ya ngono kwenye mitaa na guest house za Manzese

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Kweli mkuuu
  6. K

    Nimeshaivua rasmi vyeo UDOM

    Mkuu wewe ndio una wenge, kama website inagoma kufunguka badilisha browser au device unayotumia. Jiongeze
  7. K

    Fahamu kumi bora ya makabila yanayoongoza kushirikiana katika shida na raha

    Mkuuu naamin huyajui makabila yote, usingeweza kutusahau sisi wameru kabisa, mure warwa shiwaren uko
  8. K

    Rais anasema tuibomoe Dar yote tuijenge Upya. Namuunga mkono kabisa. Picha ya Sinza sijaisahau

    Mkuuu unatukana five star yetu pekee hapa jijini dom [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  9. K

    Rais anasema tuibomoe Dar yote tuijenge Upya. Namuunga mkono kabisa. Picha ya Sinza sijaisahau

    Daaaah aiseee I wish nitembelee huko duniani nipaone tuuu labda nitapata mawazo mapya, hapa hili jiji la Dodoma sijalielewa bado
Back
Top Bottom