Habari za muda huu wadau! Nawasalimu,
kama kichwa cha habari kilivyoeleza nakaribia kumaliza chuo hivyo natamani nifungue ofisi ya kufanya maintenance na graphics.
Kwenye comp maintenance natakiwa kuwa na vifaa gani kwa kuanzia?
Na hivyo vifaa ni bei gani?
Naombeni mnisaidie wadau najua...
Sema huo mtaa ni hatari sana aisee, kule nahisi 50% ya watu wanafanya mambo ya kihuni, m sio mwenyeji huko lkn kufika Mara ya kwanza moyo ulkuwa unadunda kila nikichek kwenye bar naona watu ambao kijijini kwetu hawapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.