Kwa vile meneja ni kaka yako na wewe ni mdogo mtu itakuwa vyema ukimfukuza ili umlete dada yako muwe wote wanandugu. Hata huko nje mnaweza kumfukuza na mlinzi pia mkamchukua baba yenu toka kijiini akaja kuwalinda. Ni maoni tu
Naombeni mnisaidie kujua hawa watu wanaokamata waendesha pikipiki kwenye maeneo kama pale Salenda bridge na kuwanyang'anya funguo zao ni akina nani?
Mbona juzijuzi nilimsikia Kamanda Mpinga akisema hairuhusiwi kukamatwa na askari yoyote ambaye hajavaa sare?
Mbona hawa wanaendelea kukamata...
Bei ya mafuta ya petroli na diesel inmeshuka kwa takriban sh 500 au zaidi .
Unafuu huu wa kushuka kwa bei unamnufaishaje Mtanzania wa kawaida ambaye hana gari linalotumia mafuta, analipa nauli ileile kwenye daladala, analipa bei juu ya umeme nk.
Serikali haioni kwamba kushuka huku kwa bei...
hawa vijana sio wakuonea huruma kabisa kwa maana wao hawana huruma hata kidogo..... Hao wanaowatetea wanawasukia tu kwenye vyombo vya habari hawajawahi kukutana nao.. Mimi sijakutana nao ila jamaa yangu alikutana nao mwaka jana kinondoni wakampiga mpaka akalazwa muhimbili na sasa hivi ameamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.